Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Hamna mwanacdm k@u@m.....@@@ kama ww.Chadema imejaza mifuasi mijinga na mipuuzi, kwa hali ulitegemea tushinde? Hata alichomaanisha Rc wa mbeya hujaelewa unakurupuka hovyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mwanacdm k@u@m.....@@@ kama ww.Chadema imejaza mifuasi mijinga na mipuuzi, kwa hali ulitegemea tushinde? Hata alichomaanisha Rc wa mbeya hujaelewa unakurupuka hovyo.
Wapumbavu na wajinga kama wewe wameua chama chetu.
Wapumbavu na wajinga kama wewe wameua chama chetu.
Pale unapopewa speech uongee afu huna cha kuongeaMkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa mkoa wa Mbeya, wameachiwa jukumu la kuendesha familia zao huku wanaume wakiongoza kufanya vitendo vya dhuluma dhidi ya mali zinazotafutwa na wake zao.
Chalamila ameyasema hayo wakati akifunga kongamano la sita la jinsia ngazi ya wilaya, ambalo limefanyika katika Halmashauri ya wilaya ya Mbeya.
RC Chalamila amesema kuwa wanawake wengi mkoani humo, ndiyo wanaobeba majukumu ya kutunza na kulea familia, ambapo hufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ikiwemo kuuza mboga na matunda, wakati wanaume wakitumia mwanya huo kuwafanyia vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na kunyang'anya fedha wanazopata kwenye biashara na kwenda kuhonga michepuko.
"Idadi kubwa ya wanaume mkoani Mbeya, wanapenda kulelewa hawapendi kujishughulisha, wanawategemea wanawake kulisha familia na kufanya kila kitu, mbaya zaidi huwashinikiza wake zao kuomba mkopo kwa kutumia account zao ili wadhulumu hizo hela, nawaambia wanawake msikubali kutumika kama ndoa yako ina shida ondoka kaanzishe maisha mengine", amesema RC Chalamila.
EATV
Huyu atakuja kuwa Kama Makonda part 2. Anapenda sana misifa ya kijinga na kuropoka ovyo ovyo!Bashiru alisema Chalamila na Makonda waendebwakasome maasili.
JAMAA NI MZIGO, KUTWA KULOPOKA LOPOKA.
ANAWACHEZEA WATU WA MBEYA????
Mlezi kapatikana na mtuHuyu mgeni hajui huu ni utamaduni wa kudumu wa wanawake wa kinyakyusa kwa mkoa wa Mbeya.
Chalamila aache mara moja kutudhalilisha Wanaume wa Mbeya.
Hana lolote huyu Rc ni kutafuta sifa za kuonwa na boss wake.Mlezi kapatikana na mtu
Tena wanaoa wake wengi wanawatumikisha kama manamba
msimulie mkeo pumba zako hiziKamanda umeandika pumba na upumbavu,hii ni uthibitisho makamanda wengi hamna akili, mnatuaibisha sana tunaojitambua.
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mnajuana eee, yeye alisha acha kulelewa sasa anawambia wenzie waache kulelewaNafasi za uongozi za kuteuliwa (na sasa za ubunge,udiwani na urais) ni kulelewa kama kulelewa kwingine.
Yeye kwa kuwa ni "me" aliyepo Mbeya,basi naye ni wa kulelewa.
Huyu dogo asitake tutoe mambo yake ya kulelewa kule Moro enzi hizo,tena na mama muuza ndizi.
Halafu watu wanamsema RC wakati ni kweli, halafu ni walevi hao?Hili jambo ni taboo kusemwa, ingawa halina shaka ndani yake. Tembelea shughuli nyingi za uzalishaji mali muda wa kazi ujionee ni wakina nani wapo busy na shughuli.
Halafu nenda kwenye vilabu na vikao vya mitaani ujione wazee wakazi wakifanya yao. Halafu time ya mlo, wao ndio wa kwanza mezani. Na wanadai ugali nyama, na sio mchicha wala mnafu.
Ndiyo hivyo anakuwa na wake wengi ili apate pa kula kila moja anatafuta kwa muda wake, si unaona walivyo wakali [emoji23][emoji23]Tena wanaoa wake wengi wanawatumikisha kama manamba
Ahahahahah kiulizeMaasili ndio nini we fala.?
Si kweliMkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wa mkoa wa Mbeya, wameachiwa jukumu la kuendesha familia zao huku wanaume wakiongoza kufanya vitendo vya dhuluma dhidi ya mali zinazotafutwa na wake zao.
Chalamila ameyasema hayo wakati akifunga kongamano la sita la jinsia ngazi ya wilaya, ambalo limefanyika katika Halmashauri ya wilaya ya Mbeya.
RC Chalamila amesema kuwa wanawake wengi mkoani humo, ndiyo wanaobeba majukumu ya kutunza na kulea familia, ambapo hufanya shughuli mbalimbali za ujasiriamali ikiwemo kuuza mboga na matunda, wakati wanaume wakitumia mwanya huo kuwafanyia vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwa ni pamoja na kunyang'anya fedha wanazopata kwenye biashara na kwenda kuhonga michepuko.
"Idadi kubwa ya wanaume mkoani Mbeya, wanapenda kulelewa hawapendi kujishughulisha, wanawategemea wanawake kulisha familia na kufanya kila kitu, mbaya zaidi huwashinikiza wake zao kuomba mkopo kwa kutumia account zao ili wadhulumu hizo hela, nawaambia wanawake msikubali kutumika kama ndoa yako ina shida ondoka kaanzishe maisha mengine", amesema RC Chalamila.
EATV
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo huko vibenten nikama kawaida?Ndio maana wamemchagua mwanamke kuwa mbunge kwasababu wanapenda kulelewa mmetuaibisha watu wa Mbeya