RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

RC dhoofu: Jumuiya zimebaki na kina mama tu tena wazee

Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
RC Bado Wana nguvu kubwa sio dhoofu kama unavyotaka kutusadikisha hapa.
 
ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.
🤜🤛
 
Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
Mkuu wote tungelikuwa na maono kama wewe, kanisa lingelibadilika pakubwa.

Ndiyo maana tunasikia nchi za magharibi ilikotokea dini yenyewe, imebaki ni dini ya wazee vikongwe wanaomalizia siku zao.

Kiukweli, yote uliyoeleza ni sahihi kabisa na si Katoliki tu na hata haya madhehebu ya kilokole ni uongo uongo mwingiii na upigaji wa pesa toka kwa masikini na hakuna lolote la maana.

Serikali isingelifumbia macho aina hii ya utapeli kama walivyofanya Rwanda.
 
Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
Hivi karibuni mtajua ukweli ni upi

Muda ni mwalimu mzuri sanaa
 
Yani hilo kanisa kadiri mnavyo jaribu kulipaka matope ndio kwanza linakuwa kwa kasi ya 5G.
Hapa nilipo miaka mitatu ilIyopita Tulikuwa kigango lakini tayari nyumba ya mapadre imejengwa kwa mll 670,000,00/=mbaka na shangaa.
Na tayari ni Parokia.
Then najiuliza mnatesekaga mkiwa wapi amabapo hamuoni kinacho endelea kwenye kanisa Katoliki.
 
Aliyehama ukatoliki haujui ukatoliki vizuri
wengi wao uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu (IQ Ndogo)

Waliozaliwa kwenye madhehebu au Didi nyingine sina neno juu yao kwani wao wanasikia na kulishwa sumu

Narudia aliyehama Rc hana uwezo wa kuisimamia familia yake.
 
Kwa sasa nyumba nyingi za ibada zinakimbiwa na waumini, hii unatokana waumini kuchoshwa na mienendo ya kanisa ambayo ni tofauti na lilichoachwa na mitume.

Jumuia inabaki na wabibi tena wachache sana hata kupita mtaani kupeleka msalaba nyumba nyingine wanaona aibu.

MAMBO YANAYOCHOSHA
Nipokuwa katoliki sikuweza kufungua Biblia wala kuielewa mpaka nilipochukua hatua mwenyewe.
Mafundisho mengi ya uongo, hii imefanya waumini kuanza kuichunguza Biblia ili kupatanisha na mafundisho yanapoonekana ni tofauti wengi wanakata tamaa na kuhamia sehemu nyingine au kuchana na kanisa kabisa.

ULAFI WA VIONGOZI WA KIROHO
Kiongozi wa dini anafundisha upendo lakini yeye akiwa mbinafsi na Asiyejali.

UBAGUZI
Waliopewa dhamana wanaangalia zaidi maslahi kuliko kondoo, mwenye pesa ndio huzikwa na Padri hata kama hakuwa muumini, asiye na pesa atazikwa na jumuiya tu.

MICHANGO MINGI.
Hii toa toa tu ya ulichonacho kimekatisha wengi tamaa, kutoa sadaka kwa mstari kunapunguza waumini sababu kuna mengine weenda kusikiliza neno lakini hawana chochote, anapobaki kwenye benchi anaaibika na siku nyingine haji.

USIRI NA KULINDANA
Kuna vitendo vingi sana vya unyanyasaji kingono vinavyofanywa na mapandri dhidi ya vijana wadogo, mapadri kuzaa na masista kisiri, mapadri kuwa na watoto mitaani na hakuna hatuwa wanayochukuliwa.

Kilichobaki kwenye hizi dini kubwa ni kurithishana dini tu wala si mafundisho tena,ukizaliwa romani basi na ww ni mroma, ukizaliwa uislamu na ww utakuwa muislamu lakini mafundisho halisi ya dini yako unakuwa hujui hata kidogo,hata kuitetea imani inakupa tabu.

Ombeni nanyi mtapewa,Tafuteni nanyi mtapata, TAFUTENI KWELI MTAKUWA HURU.
Don't genelize things. Ukiamua kuhama kanisa hama kimya kimya. Afterall imani ni kitu cha mtu binafsi. Ukidanganya eti unafuata imani fulani sababu mtu fulani ni mtakatifu, unajidanganya mwenyewe.
Hii dunia ishakuwa tambala bovu
 
Aliyehama ukatoliki haujui ukatoliki vizuri
wengi wao uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu (IQ Ndogo)

Waliozaliwa kwenye madhehebu au Didi nyingine sina neno juu yao kwani wao wanasikia na kulishwa sumu

Narudia aliyehama Rc hana uwezo wa kuisimamia familia yake.
Kama unaingia kanisa ili umwone padri mtakatifu, basi nenda huko kwingine ukakutane nao na maajabu yao.
Ukatoliki ni kitu mtu anapewa personally. Ukitaka kuuelewa, hakuna force ya aina yoyote dunia hii itakayokutingisha.
 
Aliyehama ukatoliki haujui ukatoliki vizuri
wengi wao uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu (IQ Ndogo)

Waliozaliwa kwenye madhehebu au Didi nyingine sina neno juu yao kwani wao wanasikia na kulishwa sumu

Narudia aliyehama Rc hana uwezo wa kuisimamia familia yake.
 
Aliyehama ukatoliki haujui ukatoliki vizuri
wengi wao uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu (IQ Ndogo)

Waliozaliwa kwenye madhehebu au Didi nyingine sina neno juu yao kwani wao wanasikia na kulishwa sumu

Narudia aliyehama Rc hana uwezo wa kuisimamia familia yake.
Acha kukariri ndugu.
Imani yako ya kikatoliki isikufanye kuona watu wenye imani zingine ni wajinga au wapumbavu.
Imani ni suala binafsi sana, mpaka mtu anaamua kutoka imani moja kwenda nyingine ni lazima alihusisha Akili yake na kutafakari vizuri. Huyo mtu muheshimu hata kama mnatofautiana naye.

Ngoja nikutafakarishe kitu kimoja hapa.
Hivi unajua zaidi ya 90% ya wakatoliki wako kwenye ukatoliki kwa sababu tu, walizaliwa na kulelewa na wazazi wakatoliki. Hapo akili ya muumini imetumikaje?
 
Aliyehama ukatoliki haujui ukatoliki vizuri
wengi wao uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu (IQ Ndogo)

Waliozaliwa kwenye madhehebu au Didi nyingine sina neno juu yao kwani wao wanasikia na kulishwa sumu

Narudia aliyehama Rc hana uwezo wa kuisimamia familia yake.
Wewe fahamu tu, haihitaji uwe na akili timamu au uujue vizuri ukatoliki ili uwe mkatoliki, kinachotakiwa ni wewe kuzaliwa na kulelewa na mzazi mkatoliki, hapo tu inatosha sana kuwa mkatoliki nguli.
 
Kwa mkatoliki kadri unavyoufahamu vizuri ukatoliki, kuuchunguza kiundani, kuuhoji kimantiki na kutafakari kwa akili yako binafsi kwa kutumia biblia unayoisoma wewe mwenyewe ndivyo unavyozidi kujiweka mbali na ukatoliki.
 
Mtoa mada haujawahi kuwa mkatoliki wa kweli. Lkn acha tuchukulie uliyoandika ni kweli.
Nieleze huko ulikohamia ni wapi?
Ni kule wanakouza mafuta ya kupaka na maji?
Ni kule kumuona nabii unalipia?
Ni kule mnakopangwa kwenye viti kutokana na uwezo wa kifedha alionao muumini?
Je ni kule maombi mnayoyaita deliverence wachungaji wanayafanyia Hotelini kwenye vyumba vya wageni?
Je ni kule wanakoruhusu dada kuingia kanisani akiwa nusu uchi?
Je ni kule Katibu wa kanisa anamla mama mchungaji na bado wanaruhusiwa kuwafanyia maombi waumini?
Hebu nieleze ni wapi uliko ambako upo salama.
 
Aliyehama ukatoliki haujui ukatoliki vizuri
wengi wao uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo ni finyu (IQ Ndogo)

Waliozaliwa kwenye madhehebu au Didi nyingine sina neno juu yao kwani wao wanasikia na kulishwa sumu

Narudia aliyehama Rc hana uwezo wa kuisimamia familia yake.
Wewe ni mmoja kati ya watu wenye IQ ndogo sana kuhusu biblia,unabisha nikutupie swali ujibu kama kweli ww ni Mroma?
 
Back
Top Bottom