Tetesi: RC Gambo adaiwa kupigwa kwenye Mkutano wa CCM Arusha

Status
Not open for further replies.
Wee jmaa umenichekesha halafu hujawek hata picha.
 
Habari ya kupikwa hii,Katibu wa CCM Mkoa hayupo Arusha na hata angekuwepo, RC ana ulinzi si rahisi kumpiga isitoshe RC ndo Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa akitoa amri iwe kwa RPC,RSO na wengine lazima waitekeleze hakuna cha eti RSO alitumia busara, amri za majeshi huwa ni utekelezaji tu na si vinginevyo huwezi kupingana na Boss wako akishatoa amri, mleta taarifa hizi za uongo inaonekana hujui majeshi yanaendeshwaje
 
Kwani ye si binadamu,alirushiwa bush viatu na alikuwa na ulinzi mkali we vepe
Ova
 
Waache wauwane watoane roho kwa sababu wameshazoea kuuwa wengine bila ya HATIA. Angetolewa meno kabisa huyo mkuu wa mkoa akaona tamu ya madaraka. wamezoea kuwaonea chadema tu.
 
Mshasahau sheria za mtandao mkinyooshwa mnalialia una uhakika na habari yako
 
kichapo hata kapcha hamna mhhh huu uzi ni wamashaka makubwa
 
Wamepigana kama mayweather na mike Tyson...[emoji4] [emoji14]
 
Source?Picha?Video?
ushatafuniwa ufundishwe na kumeza pia, izo video na picha ni juhudi zako kutafuta na chanzo cha taarifa ndio uyu mtoa mada,

ifikie kipindi wadau wa jf tuaminiane sisi kwa sisi mtu analetewa taarifa anauliza source kwaiyo hao wenye mablog wako vzr kuliko wadau wa jf!!

muda mwingine mtu anaweza akatuletea updates yupo kwenye kikao nyeti kisichotakiwa muandishi, mpiga picha wala mchukua video, alafu mweu m1 anakuja "source, picha, video"
 
CCM ndo ina haki ya kumuita yeyote kuhudhuria kwenye kikao cha kamati ya siasa. Mkuu wa mkoa hana haki hiyo. Kama hii story in ya ukweli, pongezi nyingi kwa katibu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…