RC Hapi: Jumamosi ya pili ya kila Mwezi itakuwa ni siku ya kufanya mazoezi watumishi wa umma na Wananchi wote mkoa wa Iringa

Imeshafeli kabla hata haijaanza
 
Reactions: BAK
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kidikteta UCHWARA kingine na hili litafeli tu. Eti hatua za kisheria zitachukuliwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣atawafukuza kazi au kuwaweka rumande? MPUUZI kweli huyu!

Kufanya mazoezi kwa lazima hakuwezi kuwa na manufaa kwa Afya za wahusika!! Wafanyakazi wapewe elimu ya umuhimu wa mazoezi ili kila mmoja afanye mazoezi yanayomfaa yeye kufuatana na umri wake; pia afanye mazoezi kufuatana na wakati unaomfaa!!!
Hivi vidikteta uchwara vinaiga mambo bila kufanya utafiti; sio kila mazoezi ni sahihi kwa kila mtu!! Mazoezi yanategemea umri na pia jinsia ya muhusika; kuna mazoezi mengine hayafai kufanywa na wanawake na wazee!!!
 
Hahahaaaa..........!
 
Aiseee....hahahaha
 
Dsm chupu chupu watiwe vidole kupimwa tezi dume, washukuriwe mashujaa wa kigamboni
Hilo la jamaa kupigwa huko kigamboni nililidaka mapema Sana sema nilikuwa nasubiri kuconfirm tu.

Ile ndio ilikua safari yake.
 
Hakuna SHERIA wala KANUNI yoyote ndani ya JMT inayoweza kumuwajibisha mtumishi wa umma ambaye hatatekeleza agizo hili.

Ni kweli ukilitazama hili tamko kwa jicho la pili linaweza kum-describe Happi kama dictator, lakini mimi binafsi nawiwa kumuita BENEVOLENT DICTATOR; huyu ni yule dictator anayetoa amri kali lakini kwa MANUFAA ya wanaopewa amri hiyo, kwa mfano Rais akilazimisha kila mwananchi apatiwe chanjo ili kujikinga na ugonjwa flani.

All in all, mazoezi ni jambo jema, ila RC alitakiwa kushauri tu na wala siyo kutoa agizo la namna hii.

Nawasilisha.
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…