Tall Guy fam
JF-Expert Member
- Jan 16, 2017
- 917
- 1,093
Imeshafeli kabla hata haijaanzaMkuu wa mkoa wa Iringa Salum Happi amesema jopo la madaktari wa mkoa wa Iringa wamemweleza kuwa mkoa huo unanyemelewa na magonjwa nyemelezi kama kisukari nk.
Kufuatia hali hiyo RC Happi amewaagiza Wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha kila Jumamosi ya pili ya kila mwezi inakuwa ni siku ya mazoezi ya Umma ambapo watumishi wote na wananchi kwa ujumla watapaswa kufanya mazoezi.
Watakaopuuza hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kidikteta UCHWARA kingine na hili litafeli tu. Eti hatua za kisheria zitachukuliwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣atawafukuza kazi au kuwaweka rumande? MPUUZI kweli huyu!
Mchaka mchaka chinja!
Mazoezi hayalazimishwiSipati picha Kasesela atakapomtandika viboko mchungaji Msigwa!
Hahahaaaa..........!Na hapa ndio unaona viongozi wasio na akili. Kwanza jumamosi ni Sabato takatifu kwa tunao amini hivyo.
Pili hivi mtu anashamba, jumamosi saa kumi na mbili asubuhi kawahi shambani kwake kwa kupamis siku za kazi. Hii si zaidi ya zoezi? Wao wanafikiri watumishi wote tumebweteka kama wao. Nina kuku, mahindi, na mbogamboga nikakimbie wanjani kutafuta mini?
Dibo ndio ameongoza mazoezi leo pale Iringa mjini!Mazoezi hayalazimishwi
Yeye mwenyewe syo mtu wa mazoezi
Labda dibo na alikuwa zamani sahvi limwili mtumbo huoooo
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Wakitoka maxoezini wanaenda ibadani!
Moto wa makaratasi tu hayo mazoeziDibo ndio ameongoza mazoezi leo pale Iringa mjini!
Au mnataka kuchungulia misambwanda nyieDibo ndio ameongoza mazoezi leo pale Iringa mjini!
Tunaomba Chadema watoe ushirikiano bwashee!
Wengine mazoezi ipo kwenye damu syo mazoezi yenu ya zimamoto!Tunaomba Chadema watoe ushirikiano bwashee!
Kule Mtwara wameagizwa kuwa na mashamba ya korosho,
Arusha kule ni viboko tu,
Haya yetu macho.
Aiseee....hahahahaMkuu wa mkoa wa Iringa Salum Happi amesema jopo la madaktari wa mkoa wa Iringa wamemweleza kuwa mkoa huo unanyemelewa na magonjwa nyemelezi kama kisukari nk.
Kufuatia hali hiyo RC Happi amewaagiza Wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha kila Jumamosi ya pili ya kila mwezi inakuwa ni siku ya mazoezi ya Umma ambapo watumishi wote na wananchi kwa ujumla watapaswa kufanya mazoezi.
Watakaopuuza hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.
Source Channel ten
Maendeleo hayana vyama!
Hilo la jamaa kupigwa huko kigamboni nililidaka mapema Sana sema nilikuwa nasubiri kuconfirm tu.Dsm chupu chupu watiwe vidole kupimwa tezi dume, washukuriwe mashujaa wa kigamboni
Hakuna SHERIA wala KANUNI yoyote ndani ya JMT inayoweza kumuwajibisha mtumishi wa umma ambaye hatatekeleza agizo hili.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kidikteta UCHWARA kingine na hili litafeli tu. Eti hatua za kisheria zitachukuliwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]atawafukuza kazi au kuwaweka rumande? MPUUZI kweli huyu!