CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
Aliwatesa sana Chadema kwa hoja na wamefurahi sana alivyooachwaKafulila sio levels zenu,
Hakuna kama Rais Samia
View attachment 2306065
RAIS SAMIA ANAVYOIVUTIA KASI VIETNAM, KOREA KIMAENDELEO,
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila anasema,
Ujenzi wa Chuo cha VETA Simiyu ni moja kati ya vyuo 25 anavyojenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan, nchi nzima kuanzia mwaka jana,
Mhe Rais anatujengea jumla ya majengo 25 na sasa tupo zaidi ya asilimia 85 kuyakamilisha,
Uamuzi huu wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kuwekeza zaidi katika ujenzi vyuo vya kati ni sehemu ya siri ya mafanikio ya mataifa kama Vietnam na Korea kusini,
Kwa msiofahamu mataifa haya tulikuwa nayo sambamba kiuchumi mpaka miaka ya 1990's
Chaajabu Mataifa haya leo yametupita zaidi ya mara tano,
Vyuo hivi vinajenga nguvu kazi kubwa yenye maarifa ya kuzalisha na hivyo kujenga uchumi mkubwa na jumuishi kwa kila mwenye nguvu ya kufanya kazi kuwa na maarifa ya kuzalisha.
Hivyo tunamshukuru Sana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa fikra za kimapinduzi katika kuhakikisha vijana wengi wanapata fursa ya kupata maarifa na kujenga nchi yao kwa kuzalisha ajira na kujiajiri,
Leo kuna miradi mingi ya ujenzi kila kona ya nchi na yote inahitaji mafundi wa aina mbalimbali.
Hapa Simiyu tunaishiwa vijana wenye stadi za ufundi mpaka tunaenda kuchukua Vijana Mwanza.
Chuo hiki kitajenga vijana wengi wa kutumia fursa hizi alimaliza kwa kusema Mhe RC Kafulila alipokuwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa chuo cha VETA-SIMIYU
Yes hata huyu RC anayekwenda Simiyu ajipange sawasawaBinafsi nafarijika Sana na kasi ya kimaendeleo inayofanywa na Rais,
Jambo la msingi ni watu kuwa na Uzalendo kwa pesa za Umma,
Pesa anazotoa Mama zikitafunwa hatutaona matokeo,
#VIVA SAMIA VIVA
Tuchape kazi, uzalendo unalipa Sana
View attachment 2306065
RAIS SAMIA ANAVYOIVUTIA KASI VIETNAM, KOREA KIMAENDELEO,
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila anasema,
Ujenzi wa Chuo cha VETA Simiyu ni moja kati ya vyuo 25 anavyojenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan, nchi nzima kuanzia mwaka jana,
Mhe Rais anatujengea jumla ya majengo 25 na sasa tupo zaidi ya asilimia 85 kuyakamilisha,
Uamuzi huu wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kuwekeza zaidi katika ujenzi vyuo vya kati ni sehemu ya siri ya mafanikio ya mataifa kama Vietnam na Korea kusini,
Kwa msiofahamu mataifa haya tulikuwa nayo sambamba kiuchumi mpaka miaka ya 1990's
Chaajabu Mataifa haya leo yametupita zaidi ya mara tano,
Vyuo hivi vinajenga nguvu kazi kubwa yenye maarifa ya kuzalisha na hivyo kujenga uchumi mkubwa na jumuishi kwa kila mwenye nguvu ya kufanya kazi kuwa na maarifa ya kuzalisha.
Hivyo tunamshukuru Sana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa fikra za kimapinduzi katika kuhakikisha vijana wengi wanapata fursa ya kupata maarifa na kujenga nchi yao kwa kuzalisha ajira na kujiajiri,
Leo kuna miradi mingi ya ujenzi kila kona ya nchi na yote inahitaji mafundi wa aina mbalimbali.
Hapa Simiyu tunaishiwa vijana wenye stadi za ufundi mpaka tunaenda kuchukua Vijana Mwanza.
Chuo hiki kitajenga vijana wengi wa kutumia fursa hizi alimaliza kwa kusema Mhe RC Kafulila alipokuwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa chuo cha VETA-SIMIYU
Njaa mbaya sana.
View attachment 2306065
RAIS SAMIA ANAVYOIVUTIA KASI VIETNAM, KOREA KIMAENDELEO,
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila anasema,
Ujenzi wa Chuo cha VETA Simiyu ni moja kati ya vyuo 25 anavyojenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan, nchi nzima kuanzia mwaka jana,
Mhe Rais anatujengea jumla ya majengo 25 na sasa tupo zaidi ya asilimia 85 kuyakamilisha,
Uamuzi huu wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kuwekeza zaidi katika ujenzi vyuo vya kati ni sehemu ya siri ya mafanikio ya mataifa kama Vietnam na Korea kusini,
Kwa msiofahamu mataifa haya tulikuwa nayo sambamba kiuchumi mpaka miaka ya 1990's
Chaajabu Mataifa haya leo yametupita zaidi ya mara tano,
Vyuo hivi vinajenga nguvu kazi kubwa yenye maarifa ya kuzalisha na hivyo kujenga uchumi mkubwa na jumuishi kwa kila mwenye nguvu ya kufanya kazi kuwa na maarifa ya kuzalisha.
Hivyo tunamshukuru Sana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa fikra za kimapinduzi katika kuhakikisha vijana wengi wanapata fursa ya kupata maarifa na kujenga nchi yao kwa kuzalisha ajira na kujiajiri,
Leo kuna miradi mingi ya ujenzi kila kona ya nchi na yote inahitaji mafundi wa aina mbalimbali.
Hapa Simiyu tunaishiwa vijana wenye stadi za ufundi mpaka tunaenda kuchukua Vijana Mwanza.
Chuo hiki kitajenga vijana wengi wa kutumia fursa hizi alimaliza kwa kusema Mhe RC Kafulila alipokuwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa chuo cha VETA-SIMIYU
Alishajirekebisha naona,
😍😍😍Binafsi nafarijika Sana na kasi ya kimaendeleo inayofanywa na Rais,
Jambo la msingi ni watu kuwa na Uzalendo kwa pesa za Umma,
Pesa anazotoa Mama zikitafunwa hatutaona matokeo,
#VIVA SAMIA VIVA
Daah, kweli Kafulila ananjaa?Njaa mbaya sana.
Kwa ground hali ni ngumuMishahara juu ,sukari juu,fedha haina thamani, unga juu, Mchele juu, DC, RC wanafiki hawa kumtumikia mkoloni mweusi
Hivi Kafurila ana umri gani...!!? Inaelekea mambo mengi anayaongea kasimuliwa au hana uelewa au reliable sources .... Hivi kweli Tanzania ilikuwa sambamba na Korea miaka ya 90's ... au anazungumzia North Korea. Hivi kweli sisi Tanzania ni wa kujilinganisha na Vietinam ambayo ilimudu kupigana vita na China na USA kwa miaka hiyo.
View attachment 2306065
RAIS SAMIA ANAVYOIVUTIA KASI VIETNAM, KOREA KIMAENDELEO,
Mhe Mkuu wa Mkoa wa Simiyu David Kafulila anasema,
Ujenzi wa Chuo cha VETA Simiyu ni moja kati ya vyuo 25 anavyojenga Mhe Rais Samia Suluhu Hassan, nchi nzima kuanzia mwaka jana,
Mhe Rais anatujengea jumla ya majengo 25 na sasa tupo zaidi ya asilimia 85 kuyakamilisha,
Uamuzi huu wa Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kuwekeza zaidi katika ujenzi vyuo vya kati ni sehemu ya siri ya mafanikio ya mataifa kama Vietnam na Korea kusini,
Kwa msiofahamu mataifa haya tulikuwa nayo sambamba kiuchumi mpaka miaka ya 1990's
Chaajabu Mataifa haya leo yametupita zaidi ya mara tano,
Vyuo hivi vinajenga nguvu kazi kubwa yenye maarifa ya kuzalisha na hivyo kujenga uchumi mkubwa na jumuishi kwa kila mwenye nguvu ya kufanya kazi kuwa na maarifa ya kuzalisha.
Hivyo tunamshukuru Sana Mhe Rais Samia Suluhu Hassan kwa fikra za kimapinduzi katika kuhakikisha vijana wengi wanapata fursa ya kupata maarifa na kujenga nchi yao kwa kuzalisha ajira na kujiajiri,
Leo kuna miradi mingi ya ujenzi kila kona ya nchi na yote inahitaji mafundi wa aina mbalimbali.
Hapa Simiyu tunaishiwa vijana wenye stadi za ufundi mpaka tunaenda kuchukua Vijana Mwanza.
Chuo hiki kitajenga vijana wengi wa kutumia fursa hizi alimaliza kwa kusema Mhe RC Kafulila alipokuwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa chuo cha VETA-SIMIYU
Hivi Kafurila ana umri gani...!!? Inaelekea mambo mengi anayaongea kasimuliwa au hana uelewa au reliable sources .... Hivi kweli Tanzania ilikuwa sambamba na Korea miaka ya 90's ... au anazungumzia North Korea. Hivi kweli sisi Tanzania ni wa kujilinganisha na Vietinam ambayo ilimudu kupigana vita na China na USA kwa miaka hiyo.
Kwa taarifa tu miaka ya mwishoni mwa 80's Korea walidonate Hunday kwa Jeshi la Police Tanzania kwa maana kuwa tayari walikuwa wanweza kutengeneza magri yao wenyewe. Miaka hiyo hiyo ya 90's anayoizungumzia tayari Sumsung TV zilikuwa ziko madukani Tanzania. Sasa sisi na Korea tulikuwa sambamba kiuchumi lini .... Bora aseme miaka ya 60's ambampo uchumi wa nchi nyingi duniani ilikuwa mdololo!!
Labda kama unazungumzia maendeleo mifukoni mwa Mafisadi ......!!Tanzania kwa sasa speed yetu ya maendeleo ni kubwa Sana,
Inaki hivihiviBinafsi nafarijika Sana na kasi ya kimaendeleo inayofanywa na Rais,
Jambo la msingi ni watu kuwa na Uzalendo kwa pesa za Umma,
Pesa anazotoa Mama zikitafunwa hatutaona matokeo,
#VIVA SAMIA VIVA
Fanya kazi acha maneno mengi,Labda kama unazungumzia maendeleo mifukoni mwa Mafisadi ......!!
Wewe unayeshinda humu na propaganda uchwara zako ndio ajira yako hiyo....!!Fanya kazi acha maneno mengi,
Uko sahihi Kaka lakini serikali inapaswa kuwekeza kwenye elimu ya Kodi Ili Kila mtu anayejipatia riziki atoe chochote kitu kwa maendeleo ya nchi yakeHakuna kama Rais Samia