RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19

RC Kilimanjaro, Dkt. Anna Mghwira atangaza kuambukizwa Virusi vya Corona - COVID-19

Wewe ni mkenya inajulikana hiyo..unajikomba komba kwa watz ili ujue kiswahili cha huku uzamie...hakuna mtz mwenye pigo za hivi...Nenda kwa manyang'au wenzio.
Role model wako Mkuu wa uhamiaji kagera aliyeshikilia bango kua Askofu Severin sio raia ametutojlka hapo juzi tu.......
ww umebaki unaendeleza dhambi hii mbaya ya ubaguzi kutoka kwa role model wako....
KISA BUKU 7 ZA LUMUMBA BASI🤔🤔
 
Kukutwa 'positive" na vipimo byetu vya corona hakumaanishi Una Corona.

Kinaweza kuwa ni kirusi chochote. Cha kufanya ni kujifusha haraka Sana na baada yahapo kunywa mcuanganyiko wa liamao na tangawizi uwe inayokuwa hadhi mojankwa.moja.
.hiyo Una boost natural immunity yako na Immunity yako inapambana na kirusi chochote ulichonacho haraka sana.

Wenginhawafahamunkujifuaha kunakuongezea hiyo lamwili na kuongeza joto la mwili ni njia nzuri sana ya ku boost natural immunity yako.
Bibi andika vizuri nikuelewe, umeniacha hapo kidogo.. Nisije nikawa nimeelewa vibaya..
 
Akamuambukize na bos wake bas
Walau Bahar itulie mawimbi

stidy
 
Role model wako Mkuu wa uhamiaji kagera aliyeshikilia bango kua Askofu Severin sio raia ametutojlka hapo juzi tu.......
ww umebaki unaendeleza dhambi hii mbaya ya ubaguzi kutoka kwa role model wako....
KISA BUKU 7 ZA LUMUMBA BASI🤔🤔
Mtu anayetuombea mabaya si rafiki kwetu,na hatufai.
 
Kukutwa 'positive" na vipimo byetu vya corona hakumaanishi Una Corona.

Kinaweza kuwa ni kirusi chochote. Cha kufanya ni kujifusha haraka Sana na baada yahapo kunywa mcuanganyiko wa liamao na tangawizi uwe inayokuwa hadhi mojankwa.moja.
.hiyo Una boost natural immunity yako na Immunity yako inapambana na kirusi chochote ulichonacho haraka sana.

Wenginhawafahamunkujifuaha kunakuongezea hiyo lamwili na kuongeza joto la mwili ni njia nzuri sana ya ku boost natural immunity yako.
leo hakuna wa kukusaidia kuhariri
 
Inasikitisha. Mbona mwananchi wa kawaida ambaye ni asymptomatic haruhusiwi kupimwa? Watu wanaambiwa lazima wawe na dalili za COVID-19. Sasa kuna mwingine akionyesha dalili ni too late.

Hi siyo simulizi. Kuna watu wa karibu wamerudishwa kwamba hawawezi kupimwa maana hawajaonyesha dalili na walikuwa na ukaribu na waliyothibitishwa kuwa na COVID-19. Kweli kwenye ugonjwa pia kuna matabaka...

Na ogopa sana wale ambao ni asymptomatic - wanasambaza hatari, bila hata wao kujijua.
"Dalili" na "symptomatic" tofauti yake nini?
 
Tuchukue tahadharii tu mapema isije tufika na sisi maaana tunakoelekea ni kubaya mno
 
Back
Top Bottom