FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Wewe Elli hata hueleweki unaongea nini? Unaweza kuniita chochote upendacho si umehajulikana umeshindwa mada unataka kuharibu iliyobaki unabwabwaja na kuhororoja bila mpango. Maana juu huko kila mmoja kakupa za uso, zinakulewesha unatafuta pakutokea.Hahahaa nimekuaoat tapeli la kimataifa kwa kivuli cha dini! Si unajifanya unajua kubadilisha mada? Mimi ni zaidi yako, naona akili zimekurudia sasa unataka turudi kwenye mada eeeh? Usidhani watu wakinyamaza basi hawakuwezi, ghood kama umeona kuwa kuwa huwa unaharibu mada za watu kwa kuja na ujinga ujinga wako. Haya tuyaache haya nakuacha sasa. Pole ndio maisha yalivyo. Yameisha