Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona hueleweki mara kura haziamui mshindi,mara tume ndiyo inaamua.Hizi arguments za Facebook siyo JF.
CHADEMA imekuwa ikishinda kwenye Majimbo magumu Arusha,Mbeya,Iringa,Tarime,Musoma,Mwanza nk.
Mkishindwa basi tume ya uchaguzi haifai au CCM wameiba kura.Siasa ni sayansi,akikuzidi kete mwenzako basi unakubali matokeo!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Niko Bunda Mara unasemaje wewe? hebu ongeza sauti wakusikie wengi.Wasukuma hamuwezi tena kututawala kimabavu safari hii hata mkija na sindano za sumu tutazichapa hadharani
Badala ya kuangalia ubora wa kiongozi unapambana na ukabila?Wasukuma hamuwezi tena kututawala kimabavu safari hii hata mkija na sindano za sumu tutazichapa hadharani
Mimi nadhani Makonda ni kama amekiuka taratibu katika kutoa haya maagizo anayoyatoa kwa niaba ya chama(CCM) kila anapotembelea sehemu. Maagizo kama haya yanatakiwa yatolewe na KATIBU MKUU WA CCM(Comrade Chongolo) na siyo Katibu mwenezi(Makonda).
Kama ameshiba basi aendelee kupuuza harafu tuone kati yake na Makonda nani boss ,asilete ujinga wake hapa.Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.
Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.
Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Muache ajazwe ujinga na machadomo harafu ataona motoTonge La Mwisho Ndiyo La Kukombea Mboga
Sasa Makala Anaweza Kupoteza Tonge Lake Hata Kama Anayeagiza Ni Muhuni Pokea/Tekeleza Chap Chap
ACHA UCHONGANISHI kama kweli weka clip hapaBaada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.
Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.
Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Think tanks za chama Cha mbuzi, mpaka mtu unaona aibu...shida ilikuwa ni nini? Hata sijuiBaada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.
Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.
Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Kigenge ndani ya ccm kinachojiita system ndio hauamua nani atangazwe mshindi. Hizo kura ni kwa ajli ya demokrasia ya kuhadaa ulimwengu, na kupatia mikopo na misaada.Ni mtazamo wako, japo wa kipuuzi. Ingekuwa hivyo basi CHADEMA na CCM wangekuwa hawaendi mikutanoni, wangekuwa wanasubiri uchaguzi.
Kinachoamua ni nini kama siyo kura, hii nchi in wapumbavu wengi sana!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Yupo sahii bora kufa njaa kuliko fanya kazi kama mtwana ,Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.
Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.
Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Duh 🙄 shughuli imeanza !Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.
Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.
Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Wasukuma mlionja power sasa mnataka kuchonga Mzinga.Badala ya kuangalia ubora wa kiongozi unapambana na ukabila?
Anzisheni Jamhuri yenu kwanini mnataka kutesa Watanzania?Nusu ya baraza la mwaziri ni wasukuma
Makala yuko sahihi kabisa na viongozi kama yeye wanatakiwa wengi katika nchi hii. Mamlaka ya uteuzi inahulikana na ilani ya chama ipo na inatekelezwa kwa mujibu wa katiba ya JMT.Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.
Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.
Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Sukuma gang, never and never again.Wasukuma hamuwezi tena kututawala kimabavu safari hii hata mkija na sindano za sumu tutazichapa hadharani
Ni bora mtu akatafuta akili kwanza kabla ya kuandika upuuzi. Makonda kazi yeke kama mwenezi ni kueneza sera za chama na msemaji mkuu wa chama ni katibu mkuu wa chama.Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.
Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.
Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Hizi ndizo akili za wana CCM. Hata ukifungiwa na nguruwe kwenye banda wewe nyenyekea ili mradi tumbo lako linajaa. CCM ni kunyenyekea tu hata ukipigwa dole la ''kunako''. Da, kuna watu mna roho ngumu kweli kweli.Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.
Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.
Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.