RC Makalla achana na Makonda vinginevyo utakwenda na maji

Acha uongo wewe kaagiza nini kifanyike huko mwanza mkutano yote tumeiona liveeee mambo mengi kagera Geita mwanza mara kelo nyingima Dc na wakurugenzi walizibeba:
 
Mikwara mbuzi hii. Mwambie huyo makonda wako serikali inaongozwa kwa mujibu wa sheria, kanuni na taratibu
 
Hako kajamaa sijawahi kukaelewa hata kidogo. Kamekaa kitapeli Sana.
 
RC au Waziri, kiuhalisia, wao siyo viongozi wa chama, na wala hawawabiki moja kwa moja kwa chama. Hao ni viongozi wa Serikali.

Kwenye mifumo iliyotengamaa, huwezi kuona kiongozi wa chama akimwagiza chochote kiongozi wa chama. Kinachofanyika ni Rais kutoa taarifa za utendaji wa Serikali kwenye chama chake. Kama kuna tatizo lolote la kiongozi yeyote wa serikali, chama kinatoa taarifa kwa Rais, ambaye ndiye ana mamlaka yote juu ya wale aliowateua.

Makonda anachokifanya ni fujo ndani ya Serikali.
 
Makala ni rafiki wa karibu sana na rais wa awamu ya 4 na ambaye kwa imani ya Makala hata huo ukuu wa Mkoa alihusika kutoa ushawishi. Hivyo Makala ana uhakika hata amtukane nani bado rafiki yake yupo
 
Wacha weeeeee
 
Hebu rudia tena
 
Kutokana na haya mabadiliko una maoni gani ?
Unadhani ni nani aliyepoteza kati yao?
 
Saizi Nani atawajibika Kwa Mwwnzie? 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…