RC Makalla: Kuanzia usiku wa leo hakuna Panya Road atasalimika, operesheni inayoanza si salama kwao

Dar ina watu zaidi ya million 3, watu chini ya 300 wanasumbua vipi? Fursa hii, nna wanangu kama 7 hivi wanaiweza hii kazi, wapewe tu leseni ya kazi maalum alafu the rest mtaona hapo hapo. Vitoto vidogo haviwezi kusumbua watu.
Wanao cha mtoto hiyo tenda wanipe mimi bonge la nyau hao panya wataita maji mma ngoja niishie hapo.
 
Dar ina watu zaidi ya million 3, watu chini ya 300 wanasumbua vipi? Fursa hii, nna wanangu kama 7 hivi wanaiweza hii kazi, wapewe tu leseni ya kazi maalum alafu the rest mtaona hapo hapo. Vitoto vidogo haviwezi kusumbua watu.
Ingekuwaga hivyo kusingekuwaga na hata mwizi wa ndala.
Sheria na vikund vya haki vya binadamu kelele zake si za.kitoto
 
Safi sana ila ingekuwa vyema angesema kuanzia leo Mama, Baba na walezi ambao wanajua watoto wao watukutu na wanatabia za kihalifu wasipowaona watoto wao waende Munchwari na ICU na labda vituo vya Polisi. Wajinga sana hawa Panya Road.
Ikumbuke kauli ya pinda ile ya atakayeua nae auawe ilivyomshukia hadi akalia.
Kunakauli haziwez semwa hadharan
 
Tatizo la sisi Tanzania na vyombo vyetu vya usalama katika operation kama hii anayehusika na asiyehusika wote watakua kitu kimoja,akili na busara inakua asilimia 1
Kikubwa ni ushauri kwa jeshi la polisi
Sio kila mtu atakaekua nje usiku ama wakiongozana wawili watatu basi ni panya road
Busara iwe mbele
 
Kinyume cha hiyo kauli. Wachache watasalimika ila wengi wao hawatorudi.
Kwenye kuokoa kuna wanaopona na kufa, so issue ya watakaorudi ni nafuu warudi na vilema vya kudumu, mfano mtu anarudi akiwa hana pua, masikio na vidole vya miguuni, nyonga imelegezwa kama mlenda!.
 

Tanzania haiwezi kufanya kitu kama hicho. Na haitatokea katika tawala za raisi yeyote yule.
 
operesheni kimyakimya ye kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama hakutakiwa kusema wangefanya kama ambush
 
Watembee na vitambulisho
 
Wewe unataka iweje labda ndugu? Raisi katoa onyo jana Leo wanakata watu mapanga.

Hawa tusiwarembee jina kwa kuwaita eti panya nyoko, hawa ni majambazi na wanafanya wizi wa kutumia siraha. Alafu unataka wabembelezwe?

Mapori yapo mengi tu, nashauri watenge pori la kuwazika huko.
 
Kama ni watoto wenu mnaishi nao mtaani na mnawajua, mmeshawahi kufanya icho ulichoshauri? Kwann mko kimya? Ninyi ndo mnawatuma wapore na kukata watu mapanga si ndio?

Hao ni wezi kama wezi wengine watajifunza wakiwa gerezani.
 
View attachment 2208639

Yaani mbinu nzuri ingekuwa ile ya kipindi cha Augustino, mzazi au ndugu unapewa taarifa kachukue maiti sehemu fulani au mochuari.

Hiyo ya nenda kituo cha polisi imekaa kama ina upendo fulani hivi!.
Hata ivo amechelewa sana! mpaka nikawa najiuliza ivi kamati ya ulinzi na Usalama mkoa haioni hili tatizo ikiongozwa na RC.

Ilikuwa ni aibu kwa RC kiukweli!? kwanza hakupaswa kusubiri tamko la Mama! wanachi wake wameumizwa sana.

Na sikuona haja ya kutoa taarifa kwa uma, sabab hao vijana watafichwa/Jificha! hiii ilifaa iwe kimya kimya, then badae wanakuja na report ya kazi ilivyofanyika.

Wengi watajificha!
 
Enzi ya Magu kulikuwa na kikosi maalum kilichokuwa kinaingia kazini jioni kuanzia saa 10 mpaka asubuhi. Hao walipewa mamlaka ya kuondoa uhai wa yoyote yule aliyeitwa jambazi au mwizi maarufu. Nafikiri kikosi hiki kirudi kwa "the last dance"
 
Muda huu tunavyoongea wako Tabata wanapiga kazi
 
Rubbish
Too many unnecessary and meaningless words
Wee RC watu wanataka amani siyo maneno, nguvu na muda unavyotumia jukwaani ungevitumia front line ungeonekana una akili na serious
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…