Wewe unafikiri watauzia wapi kama sio katika katikati ya mji? Wewe upo pale Azam unafanya kazi unafikiri maisha ni rahisi tuu kama ulivyo andika? waende wapi? Makalla akifanikiwa kwenye hili ntakuletea zawadi pala AzamSafi sana! jamaa wamegeuka kero kubwa katikati ya mji hata Mwenge pia! Nimeona hii kwa Le Mutuz!
Acha jazba! Hukua na haja ya "kufoka" 😆namna hiyo relax! Ni utaratibu tu ..zile ni hifadhi za barabara, bila shaka unafahamu kwamba kuna maeneo rasmi ya kufanya shughuli zao, kwanini hawataki huko? Afterall, Mji utakua na kutanuka lini kama tukiendeleza mentality za namna yako?Wewe unafikiri watauzia wapi kama sio katika katikati ya mji? Wewe upo pale Azam unafanya kazi unafikiri maisha ni rahisi tuu kama ulivyo andika? waende wapi? Makalla akifanikiwa kwenye hili ntakuletea zawadi pala Azam
Waondoke wamechafua SANA jiji, wameziba drainage system za DAWASA, na mvua zinataka kuanza, wacha jiji lisafishwe waondoke Kkoo isukwe upyaa.
Tufanane na Kigali. [emoji28] banyarwanda nawasalimu kwa jina la Jamhuri!
Everyday is Saturday...............................😎
Mazingira ya barabarani sio salama kwao kwanza wana ziba njia alafu pili wanaweza kusababisha ajali hata wao kugongwa na kupoteza maisha. Solution ni kuhamishwa tu no way outMazingira rafiki ya machinga ni barabarani!
Narudia tena wewe unalipwa hapo hujui maana ya machinga.... machinga hawawezi kaa mbali ya wateja... wanatakiwa kuwa mjini... hayo maeneo unayo yataja ni yapi? machinga complex? Tusubiri afanikiwe nikuletee zawadi...... uwezi kuwatoa machinga mjiniAcha jazba! Hukua na haja ya "kufoka" 😆namna hiyo relax! Ni utaratibu tu ..zile ni hifadhi za barabara, bila shaka unafahamu kwamba kuna maeneo rasmi ya kufanya shughuli zao, kwanini hawataki huko? Afterall, Mji utakua na kutanuka lini kama tukiendeleza mentality za namna yako?
Hebu tuone safari hii kama Makala atakuwa na menoMkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Makalla amesema zoezi la kulirejesha jiji pamoja na mkoa mzima katika hadhi yake litaanza ambapo Wamachinga wanaofanya biashara zao barabarani na katika hifadhi za barabara wataondolewa.
Makalla amesema wamachinga wote wanapaswa kufanya biashara katika maeneo rasmi yaliyotengwa na siyo vinginevyo.
Chanzo: Clouds tv
cc: Mmawia
Hata pale stand mbezi hasa kwa Magufuli waliwatengea waingie ndani lakini wameondolewa pale mbele...... lakini si wote wameingia ndani... hivi machinga kama wa pale mbezi utawapeleka wapi kwa agizo la jumatatu tuuu? lazima waseme watawapeleka wapi.......Hakuna mwenye uwezo huo.
Hakuna mwenye kuweza kuwatoa wamachinga.
Makala hajawahi fanya jambo likakamilika.
Mkitaka mji uwe safi, Wamurudishe Makonda aje atunishe misuri yake. Wakishindwa huyo lambda Mtaka.
Kuwa ondoa machinga kunahitaji mtu atumie nguvu sana ama mipango mathubuti.
Machinga kama wa pale Mbezi huwezi ukawatoa hivihivi. Ni wengi mno afu hawana pa kwenda. Serikali ijipange. Ila Makala tu hawezi kwa kweli.
Acha kunifokea nenda sehemu rasmi toka kwenye hifadhi ya barabaraWewe huelewi maana ya jiji!
Hapa ndugu yangu hauko sawa jiji ni lazima kila mtu afuate sheria na sio lazima kila mtu awe machinga utatengwa mtaa mmoja kwa shughuli hizo lakini sio kuharibu mji kwa kisingizio tutakuwa vibaka. Naomba siku nione Kariakoo mpaka posta kote hakuna vibanda barabarani hata kimoja biashara za kisasa na ziwekwe taa za solar barabara zote city centre mazingira safi ili maduka au biashara zichangie kodi wamachinga hawachangii kitu zaidi wanapoteza mapato serikali katika kudhibiti. Mkuu wa mkoa nakuunga mkono 100% fanya jambo ambalo wengi wameshindwa hili liwe kipaumbele mji lazima kuwe na sheria na nidhamu. Walivunjiwa watu nyumba za kuishi sembuse vibanda vya mbao. Makalla fanya kweli na wala usiwachekee usoni iko siku watu watakukumbuka kwa hili. Kwa taarifa tu hata JPM kabla ya umauti kumchukuwa alishaambiwa hii sio sawa lazima waondoke na ilikuwa operation tayari basi kifo kikatokea. Mkuu wa mkoa please kwa hili naku support 100%.Ni Jambo jema ila angalizo tu, asije akawa anadhani anawaondoa wamachinga kumbe anajiondoa yeye ofcn!!
Kwa sabab kabla ya kuwaambia watu waliopo waondoke lazima afikirie wanaenda wap, ikiwa Hana plan wapi wanaenda maana yake anawaambia wajitafutie wenyewe, je yupo tayar na matokeo ya kujitafutia wenyewe??
Naona vibaka na wezi wanaongezeka zaidi, dar itakuja kuwa mji wa hatari kuishi kuliko eneo jingine tz...
Masoko si yanajulikana.Hata pale stand mbezi hasa kwa Magufuli waliwatengea waingie ndani lakini wameondolewa pale mbele...... lakini si wote wameingia ndani... hivi machinga kama wa pale mbezi utawapeleka wapi kwa agizo la jumatatu tuuu? lazima waseme watawapeleka wapi.......
Kuna haja ya kubuni masoko ya Wamachinga kwa baadhi ya barabara kuliko kujenga masoko makubwa yanayoishia kukosa wajasiriamali.Hii ingependezaa ije pia mwanzaa,pale nyerere tower hakufai kabisaa wamachinga Hadi barabarani na hatari pale Ni round about gari ikifeli break Ni hatatii Sanaa,njoo mitaa ya makoroboi kwenda Hadi posta keroo tupuu.njoo mitaa Kama buhongwa stand ya kwenda mjini wajasiria malii wanapangaa nyanyaa Hadi daladalaa kuingia keroo....
Ohooo yamekuwa hayo tena, urafiki wa sisi wamachinga na CCM ndiyo umefikia kikomo?Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam mh Makalla amesema zoezi la kulirejesha jiji pamoja na mkoa mzima katika hadhi yake litaanza ambapo Wamachinga wanaofanya biashara zao barabarani na katika hifadhi za barabara wataondolewa.
Makalla amesema wamachinga wote wanapaswa kufanya biashara katika maeneo rasmi yaliyotengwa na siyo vinginevyo.
Chanzo: Clouds tv
cc: Mmawia
CCM watatawala na nguvu ya chama wala sio wamachinga ni huko mashambani ndio wananguvu. kuharibu mji kwa sababu za kisiasa sio sawa na nitashangaa Chadema wakipinga hapo ndio nitajuwa chama hakina dira wanarukia fursa tu mbele. Kuna mambo ya msingi ni lazima yaungwe mkono na wote bila kujali chama gani na moja ya hayo kuweka miji yetu kisasa na kufuata sheria za majiji au mikoa kwa maslahi mapana ya nchi.Chadema watageuka watetezi wa machinga na ndiyo hapo Amoss Makala atafukuzwa ukuu wa mkoa.
hawa machinga ni wenu nyie mataga mmekula pesa zao za vitambulisho vya wajasiriamali.Chadema watageuka watetezi wa machinga na ndiyo hapo Amoss Makala atafukuzwa ukuu wa mkoa.