RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.
- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara
- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.
- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.
RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.
Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hasan ameidhinisha shilingi bilioni 28 kwa ajili ya ujenzi wa soko la Kariakoo lililoteketea kwa moto mwezi wa saba mwaka huu unaotarajiwa kuanza Disemba kumi mwaka huu. https://t.co/0DIvL4mBMq View attachment 2030829
Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hasan ameidhinisha shilingi bilioni 28 kwa ajili ya ujenzi wa soko la Kariakoo lililoteketea kwa moto mwezi wa saba mwaka huu unaotarajiwa kuanza Disemba kumi mwaka huu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe. Samia Suluhu Hasan ameidhinisha shilingi bilioni 28 kwa ajili ya ujenzi wa soko la Kariakoo lililoteketea kwa moto mwezi wa saba mwaka huu unaotarajiwa kuanza Disemba kumi mwaka huu.
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.
- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara
- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.
- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.
RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.
Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.
Serikali imetoa. over. ni hela zetu hizo sio za mtu binafsi. ningekuwa mimi ni Rais ningewapiga mkwara hawa wanasiasa waache kunisifia, kwasababu Rais ni msimamizi tu wa rasilimali zetu, sio mmiliki.
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.
- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara
- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.
- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.
RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.
Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.
- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara
- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.
- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.
RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.
Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.
- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara
- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.
- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.
RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.
Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.
- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara
- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.
- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.
RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.
Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.