RC Makalla: Rais Samia atoa Tsh bilioni 28 kukarabati soko la Kariakoo

RC Makalla: Rais Samia atoa Tsh bilioni 28 kukarabati soko la Kariakoo

RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.

- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara

- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.

- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.

RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.

Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.

View attachment 2030849
 
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.

- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara

- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.

- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.

RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.

Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.

View attachment 2030849
Bilioni 2 amewapa wanaccm wafanyabiashara wadogo! Atapita bila kupingwa.
 
Wadau walipendekeza soko lihamie nje ya jiji ili kariakoo ipumue, papatikane hata sehemu ya kupata upepo kidogo - papandwe miti na bustani murua.
 
Wadau walipendekeza soko lihamie nje ya jiji ili kariakoo ipumue, papatikane hata sehemu ya kupata upepo kidogo - papandwe miti na bustani murua.
Mnataka sehemu ya kujisaidia hovyo mmechoka vyoo vya kulipia.
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
7. Chawa juu
Taka taka za Lumumba ni hovyo sana
 
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.

- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara

- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.

- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.

RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.

Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.

View attachment 2030849
 
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.

- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara

- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.

- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.

RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.

Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.

View attachment 2030849
Kama kuna Rais wa Ukweli Tanzania tumepata basi ni huyu mama,

#MAMA KAZIIENDELEE
 
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.

- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara

- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.

- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.

RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.

Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.

View attachment 2030849
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.

- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara

- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.

- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.

RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.

Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.

View attachment 2030849
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
RC MAKALLA: UKARABATI NA UJENZI SOKO JIPYA KARIAKOO KUANZA WIKI IJAYO.

- Ampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutenga fedha Biloni 28 na kuwajali Wafanyabiashara

- Asema Wahanga wa soko la Kariakoo Na soko Dogo watapewa kipaumbele kurejea soko litakapokamilika.

- Asema Mkandarasi wa kukarabati Na kujenga soko amepatikana.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema Ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Gorofa 6 utaanza Baada ya Tar 09 Disemba baada ya Mkandarasi kupatikana.

RC Makalla amesema hayo wakati wa hafla ya kukabidhi hundi ya Shilingi bilioni 2 kwa vikundi vya ujasiriamali ambapo amesema tayari Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kiasi Cha Shilingi bilioni 28 kwaajili ya Ujenzi huo.

Aidha RC Makalla amewaondoa hofu Wafanyabiashara wa Soko Hilo Wenye wasiwasi kuwa baada ya ujezi kukamilika watapangishwa watu wengine ambapo amesema wazawa watapewa kipaombele.

View attachment 2030849
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Kama kuna Rais wa Ukweli Tanzania tumepata basi ni huyu mama,

#MAMA KAZIIENDELEE
Sukuma GANG mkuje huku. .. mnaitwa mtetee legacy inafutwa na Samia 😄
Mama anatoa mihela ya mumewe makunduchi analeta bara. Pumbavu watoto wa
Teuzi.
 
Kuna watu wanapandisha bei za bidhaa kiholela kumchafua Rais Samia,

Waziri Mkuu pambana na hawa watu nia yao si njema kabisa,
 
Kila mahali hela inatolewa na Rais, pesa hii ilipitishwa kwenye bajeti?
 
Back
Top Bottom