CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 5,621
- 5,029
CHADOMO kila kitu mnajua duuuuhWadau walipendekeza soko lihamie nje ya jiji ili kariakoo ipumue, papatikane hata sehemu ya kupata upepo kidogo - papandwe miti na bustani murua.
Naona unajitahidi kufufua kila uzi wa kumuabudu Samia.Team JF,
MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.
#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
Kwani akifufua shida iko wapi? Nawewe fufua wa kumsifu Mbowe|Lissu ndio maaana ya "Jamii forum "Naona unajitahidi kufufua kila uzi wa kumuabudu Samia.
Wewe unaona kuna shida!? Okay, nimekumbuka kumbe we "chawa". Endelea na uchawa.Kwani akifufua shida iko wapi? Nawewe fufua wa kumsifu Mbowe|Lissu ndio maaana ya "Jamii forum "
CHADEMA Mnapenda kudeal na petty issues SanaWewe unaona kuna shida!? Okay, nimekumbuka kumbe we "chawa". Endelea na uchawa.
Chawa ProMax wewe uki_deal na big issues inatosha.CHADEMA Mnapenda kudeal na petty issues Sana
Kaziiendelee ,Tumuunge mkono Rais SamiaChawa ProMax wewe uki_deal na big issues inatosha.