Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hawajali kuelewa. Wanasubiri tu nani kasema wafuate kama nyumbu. Ni matumbo yao tu ndiyo yanaelewa njaa.Umeambiwa tatizo sio kununua ila havipo kwenye form ya maadili ya viongozi walizojaza ambapo anatakiwa kuorodhesha mali anazomiliki.
Mkisoma vitu mjilazimishe kuvielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema chochote uridhikeNa type naacha dah
Nape alizimwaga? Mtu hana vyeti na anajua akitoka tu akajaribu kesho yake atakuwa Kisutu then Segerea.Vipi akitumbuliwa hawezi mwaga mboga nae,maana ule ni utatu mtakatifu unaotegemeana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh!mkuu acha uongo lazima kuna harufu ya ufisasi kumbuka viwanja hivyo amenunua. Kwa pesa ndefu ambayo haendani bayoKuna watu wa kawaida kabisa wana viwanja vikubwa na vingi kuliko vya Makonda. Hii siyo ishu ya kushikia bango kivile!
Sent using Jamii Forums mobile app