RC Makonda: Anayemjua mwizi aje ofisini kwangu kusema, nitampa laki moja

RC Makonda: Anayemjua mwizi aje ofisini kwangu kusema, nitampa laki moja

Watanzania mbona hamfahamu taratibu na sheria zenu wenyewe?.

Vyombo vinavyopeleleza makosa ya jinai unakijua?. Sasa hivyo vyombo ndio vyenye huo uwezo kisheria.

Kasome hiyo sheria niliyoitaja hapo juu.
Makonda kasema, atapeleleza, au Kawataka Wananchi wamletee Taarifa Mkoani ambapo kutakuapo tayari wahusika wanaoshighulikia ?.


Na hata kama hawatakuwepo, unadhan Taarifa hizo atazikumbatia??.
 
Bashite ameshatest mitambo yote mpaka hivi sasa,kuwa mkuu wa mkoa katika mikoa miwili yenye wajanja wengi si haba.
 
Wewe ni mjinga sana.

RC ni Mwenyekiti wa kamati ya Usalama Mkoa, Ndani yake Kuna RPC, RSO n.k

RC Makonda anachofanya ni kuwamotisha Raia wema ambao Huwa Wana taarifa lkn hawajui wazipeleke wapi, Sasa wajue ni wapi zinaendaz na zitasaidia nini , na wao wanafaidika na nn kwa mustakibali wa nn.


Nilikuaga naamini JF Ina watu wenye akili kumbe baadhi yenu ni vichwa maji namna hii.

Makonda kawekesha Kambi ya Madaktari Mkoa mzima ,aliipata wapi Pesa?? Ana mawakili wa TLS wanaosaidia Raia, anapata wapi Pesa?

Wewe Hujui Katika Ma RC Bora na wabunifu hapa Nchini, Makonda ni Juu ya wote???

Kagawa Pikipiki Polisi, kapata wapi Pesa??.


Kuna Dhambi kutumia Pesa iwe yako au ya Raia Kwa jambo ambalo ni faida ya hao hao Raia???.

Hiyo MAMLAKA ndio kumbe inatakiwa itoke Hadharani iwaambie Raia, njooooni mtupe taarifa ,tutatoa Zawadi?.
Wewe jamaa, hiv RC ni chombo cha upelelezi wa makosa ya jinai?.

Unafikiri ni kwanini huwa wakuu wa mikoa, mawaziri au raisi wakienda kwenye miradi wakahisi kuna upigaji au ufisadi wanaita watu wa Takukuru au polisi wachukue wahusika wakawahoji?

Ni kwasababu hivyo vyombo ndio vyenye mamlaka ya kupeleleza. Ingekuwa RC kwavile ndio mwenyekiti wa ulinzi mkoa basi angefanya maamuzi yeye ila hawezi na hana hayo mamlaka.

Jifunze Mkuu
 
Ili kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)

Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'

Huyu jamaa yenu ndo maana tunasema alipata 0

Sasa hiyo kazi ya polisi yeye anaitaka ya Nini?? Hiyo ni taaluma ya kipolisi
 
Katika kazi zangu niliwahi kukutana na wachina wakorofi, wajinga, na watoarushwa, wakaenda kushitaki kwa mkuu wa wilaya

Mkuu wa wilaya akaniita niende ofisini nikagoma nikawapelekea wachina invoice ya kwenda kwa mkuu wa wilaya

Kesi yao ilikufa haikuendelea
 
Makonda kasema, atapeleleza, au Kawataka Wananchi wamletee Taarifa Mkoani ambapo kutakuapo tayari wahusika wanaoshighulikia ?.


Na hata kama hawatakuwepo, unadhan Taarifa hizo atazikumbatia??.
Kisheria hana hayo mamlaka ya kutoa zawadi kwa wafichuzi, labda kama atatoa pesa zake binafsi na pia hao watu hawata qualify kuwa wafichuzi na hata kuja kuwatumia Mahakamani kama mashahidi itasumbua sababu chain haijafuatwa.

Nitakupa mfano,

Polisi wanaweza wakakamata gunia la bangi, ila kama watalichukuana kulipeleka kituoni tu na kisha kwenda mahakamani kutoa ushahidi kuwa walimkamata mtuhumiwa na gunia la bangi, lazima washindae kesi. Kwanini?, sababu hawatakuwa wamefuata utaratibu.

Sasa hivyo hivyo kwa hao wafichuzi, lazima utaratibu ufuatwe sababu kuna mengi baada ya hapo.

Eleweni mifumo inavyofanya kazi Wakuu.

What if nikasema hiyo ni rushwa? Sababu ni ushawishi nje ya mfumo rasmi.

Hili ni jambo nyeti lililochukuliwa kiurahisi.
 
Ili kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)

Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'

Nonsense
Ili kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)

Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'

Nonsense
 
Ili kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)

Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'

Ndio yale yale ya kwenye madawa unakuja kuishia kuchafua watu kwani kiongozi unashindwa kufanya kazi kimya kimya kesho watu watatofautiana mitazamo wataenda kutajana kwa RC kama wezi nia njema isipokua na dhamira njema huishia kwenye uovu na soon usishangae target ikawa wanasiasa
 
Punguza ujinga kidogo Mkuu.

Wewe unafikiri mtu yoyote anaweza tu kutoka na kujiamulia maamuzi yake kwenye hii nchi?. Ni lazima sheria zifuatwe na zikiwa hazijafuatwa ielezwe wazi.

Unafahamu kuwa anayeweza kutoa zawadi kwa mfichuzi (whistleblower) ni Mamlaka yenye uwezo wa kufanya upelelezi?

Na Tanzania swala la kufanya upelelezi kwenye makosa ya Jinai halipo kwa RC bali ni Polisi, Takukuru, FIU, TCRA, n.k zote zina mifumo ya kushughulikia makosa ya kijinai.

Sasa swali ni RC anatoa zawadi kwa hao wafichuzi chini ya sheria gani?, lazima hili liulizwe ili ifahamike ni pesa yake binafsi au pesa ya umma inayopaswa kufuata mtiririko sahihi.
Ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Arusha.
Tips anaweza kupewa kiongozi yeyote ila ufuatiliaji ukafanywa na chombo husika.
Katika kazi zangu niliwahi kukutana na wachina wakorofi, wajinga, na watoarushwa, wakaenda kushitaki kwa mkuu wa wilaya

Mkuu wa wilaya akaniita niende ofisini nikagoma nikawapelekea wachina invoice ya kwenda kwa mkuu wa wilaya

Kesi yao ilikufa haikuendelea
Invoice? Walikuwa wanauzwa au?
 
Ili kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)

Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'

Aanze na Bosi wake,
 
Ndio yale yale ya kwenye madawa unakuja kuishia kuchafua watu kwani kiongozi unashindwa kufanya kazi kimya kimya kesho watu watatofautiana mitazamo wataenda kutajana kwa RC kama wezi nia njema isipokua na dhamira njema huishia kwenye uovu na soon usishangae target ikawa wanasiasa
Huyu ni Big Brain kwenye Taifa la Wapumbavu
 
Back
Top Bottom