RC Makonda: Anayemjua mwizi aje ofisini kwangu kusema, nitampa laki moja

RC Makonda: Anayemjua mwizi aje ofisini kwangu kusema, nitampa laki moja

Ndio ni mwenyekiti wa kamati, ila swali ni nani anayepeleleza makosa ya jinai?

Tuna vyombo vya ulinzi na mamlaka za kusimamia sheria zinavyofanya hiyo kazi sio kamati.

Hiyo ni sheria sio utashi binafsi wa mtu
Wwe una fikra finyu sana, na punguza kukariri, kua muelewa wa jambo na sio kukariri vitabu,soma kwa makini ili ulielewe jambo kwa undani zaidi!!
 
Kabla ya kudili na hawa vibaka wa kuku na tatu mzuka, ni vyema aanze kwanza na wale wezi wa rasilimali za nchi waliopo huko kwenye ofisi za serikali.
 
Ili kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 100,000/- (laki moja tu)

Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'

Awe makini sana, kesi za kubambika hazikosekani kwenye mazingira aina hii.
 
Hahahah, kuna sheria inaitwa The Whistleblower and Witness Protection Act, 2015. kwa tafsiri rahisi ni Sheria ya Wafichuzi na Ulinzi wa Mashahidi. Pamoja na Kanuni zake za 2023

Nauliza tu hivi ndugu RC ameshauriwa kweli au kuambiwa juu ya uwepo wa hii sheria na kanuni zake na matakwa yake?

Haya bana yetu macho.
Ungemsifia kwa kutekeleza hiyo sheria.
Law enforcement, sheria isiwepo tu kitabuni, lazima itekelezwe. Hicho ndicho anachofanya Makonda
 
Tatizo lipo kwenye Polisi. Unakwenda kutoa taarifa kumbe yule Jambazi unayem report mishe zake zite anazipiga na mapolisi. Hapo lazima kikurambe. Paul mwendewe ni jambawazi tu
 
Hii sio njema..
Vip kama mtu una bifu nae ukaenda kumchoma kwa RC
Taarifa zozote zile lazima zichakatwe kwanza,hata ukiambiwa flani anatoka na mkewo,lazima taarifa zichakatwe kwanza! Na matokeo ya uchakataji ndiyo yatatoa mwelekeo wa taarifa!!
 
Tatizo hii nchi inawajuaji wajinga wengi sana ambao ujuaji wao ukifafilia haujawahi kuwasaidia chochote wao wenyewe achilia mbali familia au taifa.

Mnafahamu kabisa kashfa za Jeshi letu la kaki, mnafahamu namna wanavyofanya kazi bila weledi, ni jukumu lao kushughulikia uhalifu je nani anaweza kuwapelekea taarifa za uhalifu?
Na Mawakili wasiopenda haki itendeke mradi wao wapate pesa huwa wanapenda kutumia hayo mapungufu ya police mahakamani kutetea wahalifu wao,badala ya kuonyesha kua kweli mteja wake hajatenda hilo kosa,wao wanangangana na mapungufu kwenye PGO tu!!
 
Mwambieni apunguze matumizi ya Pombe kali na Mademu Wazee
 
Sasa mtaanza sikia, vijana wa Arusha wanapotea mmoja baada ya mwingine. Polisi huwa wanawajua wezi wote wa eneo husika.
Bahati mbaya wanakula nao, mwizi au jambazi, akienda tofauti nao ndiyo atafikishwa mahakamani au kuuliwa. Zaidi ya hapo, wizi, majambazi ya kutumia silaha na polisi ni chanda na pete.
 
Ndio ni mwenyekiti wa kamati, ila swali ni nani anayepeleleza makosa ya jinai?

Tuna vyombo vya ulinzi na mamlaka za kusimamia sheria zinavyofanya hiyo kazi sio kamati.

Hiyo ni sheria sio utashi binafsi wa mtu
Makonda kasema nenda karipoti tu. Hayo ya upelelezi muachie yeye. Wew shida yako nini?
 
U
Punguza ujinga kidogo Mkuu.

Wewe unafikiri mtu yoyote anaweza tu kutoka na kujiamulia maamuzi yake kwenye hii nchi?. Ni lazima sheria zifuatwe na zikiwa hazijafuatwa ielezwe wazi.

Unafahamu kuwa anayeweza kutoa zawadi kwa mfichuzi (whistleblower) ni Mamlaka yenye uwezo wa kufanya upelelezi?

Na Tanzania swala la kufanya upelelezi kwenye makosa ya Jinai halipo kwa RC bali ni Polisi, Takukuru, FIU, TCRA, n.k zote zina mifumo ya kushughulikia makosa ya kijinai.

Sasa swali ni RC anatoa zawadi kwa hao wafichuzi chini ya sheria gani?, lazima hili liulizwe ili ifahamike ni pesa yake binafsi au pesa ya umma inayopaswa kufuata mtiririko sahihi.
usibishane na darasa la saba mkuu
 
Nchi hiii Ina wasomi wa KISHENZI wengi sana, Wazee wa mavyeti na Makaratasi but I tell you, Wana Uwezo ambazo ni 0 katika kuhakikisha Wana put into effect kile walichokisomea.
📌
Je nini kifanyike katika taifa? ili kuondokana na hii hali.
 
Hizo sheria weka pembeni mama, labda kwa vile hujawahi kukumbana na kadhia ya majambazi,wauwaji au wabakaji
Watajwe matukio yao yafwatiliwe na kufufuliwa!!
Naunga mkono hoja
Wajinga ni wengi sana hii nchi. Unataka kuweka sheria pembeni ili uishije?, kihuni huni?. Unafahamu kuwa mfichuzi baadae anakuja kuwa shahidi muhimu kwenye kesi husika?, unajua kuwa isipozingatiwa sheria hata qualify kuwa shahidi muhimu na ushahidi wake wote utapuuzwa, mwisho wa siku kesi yote itavurugika.
Wwe una fikra finyu sana, na punguza kukariri, kua muelewa wa jambo na sio kukariri vitabu,soma kwa makini ili ulielewe jambo kwa undani zaidi!!
Fuateni sheria Wakuu
 
Makonda kasema nenda karipoti tu. Hayo ya upelelezi muachie yeye. Wew shida yako nini?
Kuripoti ni sawa na sio sawa pia. Kwanini ukaripoti uhalifu kwa RC? kwani haupajui polisi au vyombo vingine vya upelelezi.

Mfano unaombwa rushwa ya ngono, badala ya kwenda Takukuru wewe unaenda kwa RC ili iweje?

Sasa hapo kuna swala lingine wengi hawalielewi, alilolisema RC kuna sheria inayolisimamia. Sio swala jipya kamwe lipo na lina sheria inayolisimamia
 
Vyombo vya ulinzi na upelelezi kazi yake ni nini? Mambo ni mengi kweli kweli
 
Kuripoti ni sawa na sio sawa pia. Kwanini ukaripoti uhalifu kwa RC? kwani haupajui polisi au vyombo vingine vya upelelezi.

Mfano unaombwa rushwa ya ngono, badala ya kwenda Takukuru wewe unaenda kwa RC ili iweje?

Sasa hapo kuna swala lingine wengi hawalielewi, alilolisema RC kuna sheria inayolisimamia. Sio swala jipya kamwe lipo na lina sheria inayolisimamia
Nimesikitika kuona kuna majinga yanashabikia huu upumbavu wa bashite.
Kwa utaratibu huo wa zero brain bashite hiyo kesi mahakamani Serikali lazima ishindwe.
Kuna kipindi bashite alivyokuwa rc dsm alikurupuka kuwaambia akina mama waliotelekezewa watoto wafike ofisini kwake, walivyokuwa wajinga hao akinamama walijazana ofisini kwake na hakuna hata mmoja aliyesaidiwa just imagine kuna mmama mmoja mjinga kama bashite alipewa mimba na mchina ambaye alisharudi kwao china naye alikwenda kwa zero brai mwenzake bashite akiwa na kitoto ki halfcast cha kichina akitaka msaada.
Huyu zero brai bashite akilala akiamka anaibuka na ishu zake very outrageous
 
Back
Top Bottom