Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Makonda kasema, atapeleleza, au Kawataka Wananchi wamletee Taarifa Mkoani ambapo kutakuapo tayari wahusika wanaoshighulikia ?.Watanzania mbona hamfahamu taratibu na sheria zenu wenyewe?.
Vyombo vinavyopeleleza makosa ya jinai unakijua?. Sasa hivyo vyombo ndio vyenye huo uwezo kisheria.
Kasome hiyo sheria niliyoitaja hapo juu.
Wewe jamaa, hiv RC ni chombo cha upelelezi wa makosa ya jinai?.Wewe ni mjinga sana.
RC ni Mwenyekiti wa kamati ya Usalama Mkoa, Ndani yake Kuna RPC, RSO n.k
RC Makonda anachofanya ni kuwamotisha Raia wema ambao Huwa Wana taarifa lkn hawajui wazipeleke wapi, Sasa wajue ni wapi zinaendaz na zitasaidia nini , na wao wanafaidika na nn kwa mustakibali wa nn.
Nilikuaga naamini JF Ina watu wenye akili kumbe baadhi yenu ni vichwa maji namna hii.
Makonda kawekesha Kambi ya Madaktari Mkoa mzima ,aliipata wapi Pesa?? Ana mawakili wa TLS wanaosaidia Raia, anapata wapi Pesa?
Wewe Hujui Katika Ma RC Bora na wabunifu hapa Nchini, Makonda ni Juu ya wote???
Kagawa Pikipiki Polisi, kapata wapi Pesa??.
Kuna Dhambi kutumia Pesa iwe yako au ya Raia Kwa jambo ambalo ni faida ya hao hao Raia???.
Hiyo MAMLAKA ndio kumbe inatakiwa itoke Hadharani iwaambie Raia, njooooni mtupe taarifa ,tutatoa Zawadi?.
Huyu jamaa yenu ndo maana tunasema alipata 0Ili kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)
Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'
Eneo langu la kazi nalifahamu vizuri. Acha siasa angalia sheria zinasema nini. Sheria zipo wazi watu wachache hawazifuati ndio maana mifumo inayumba kila mara.Unaonekana wewe ndio hufahamu!
Kisheria hana hayo mamlaka ya kutoa zawadi kwa wafichuzi, labda kama atatoa pesa zake binafsi na pia hao watu hawata qualify kuwa wafichuzi na hata kuja kuwatumia Mahakamani kama mashahidi itasumbua sababu chain haijafuatwa.Makonda kasema, atapeleleza, au Kawataka Wananchi wamletee Taarifa Mkoani ambapo kutakuapo tayari wahusika wanaoshighulikia ?.
Na hata kama hawatakuwepo, unadhan Taarifa hizo atazikumbatia??.
Makonda huwa anatumia vilevi?
Unaenda kumchoma mtu,unakuta ushachomwa ulikua unatafutwa,hivyo unakua umewarahisishia.Haya nendeni mkachomane sasa
Mchukue 100,000
Ova
Wapi nilipo mkataa!Unamkataa jamaa yako,?
andika vizuri wewe....muraTsh. 1,000,00/- (laki moja tu)
wewe ni miongoni mwa wezi sio kwa kiwewe hiki tafuta kazi ya kufanya acha wiziEneo langu la kazi nalifahamu vizuri. Acha siasa angalia sheria zinasema nini. Sheria zipo wazi watu wachache hawazifuati ndio maana mifumo inayumba kila mara.
NonsenseIli kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)
Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'
NonsenseIli kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)
Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'
Ndio yale yale ya kwenye madawa unakuja kuishia kuchafua watu kwani kiongozi unashindwa kufanya kazi kimya kimya kesho watu watatofautiana mitazamo wataenda kutajana kwa RC kama wezi nia njema isipokua na dhamira njema huishia kwenye uovu na soon usishangae target ikawa wanasiasaIli kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)
Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'
Ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa wa Arusha.Punguza ujinga kidogo Mkuu.
Wewe unafikiri mtu yoyote anaweza tu kutoka na kujiamulia maamuzi yake kwenye hii nchi?. Ni lazima sheria zifuatwe na zikiwa hazijafuatwa ielezwe wazi.
Unafahamu kuwa anayeweza kutoa zawadi kwa mfichuzi (whistleblower) ni Mamlaka yenye uwezo wa kufanya upelelezi?
Na Tanzania swala la kufanya upelelezi kwenye makosa ya Jinai halipo kwa RC bali ni Polisi, Takukuru, FIU, TCRA, n.k zote zina mifumo ya kushughulikia makosa ya kijinai.
Sasa swali ni RC anatoa zawadi kwa hao wafichuzi chini ya sheria gani?, lazima hili liulizwe ili ifahamike ni pesa yake binafsi au pesa ya umma inayopaswa kufuata mtiririko sahihi.
Invoice? Walikuwa wanauzwa au?Katika kazi zangu niliwahi kukutana na wachina wakorofi, wajinga, na watoarushwa, wakaenda kushitaki kwa mkuu wa wilaya
Mkuu wa wilaya akaniita niende ofisini nikagoma nikawapelekea wachina invoice ya kwenda kwa mkuu wa wilaya
Kesi yao ilikufa haikuendelea
Aanze na Bosi wake,Ili kuendelea kupinga vitendo vya uvunjifu wa amani mkoani Arusha Mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda amewaahidi wananchi wa mkoa huo hususani Bodaboda kuwa yeyote anayemjua mwizi na mwenye viashiria vya wizi basi akifika katika ofisi yake (yaani ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha) atapatiwa Tsh. 1,000,00/- (laki moja tu)
Makonda ametoa ahadi hiyo leo, Jumapili Julai 14.2024 wakati wa hafla ya kufunga mashindano ya 'Samia Motocross Championship'
Big Brain kwenye Taifa la Wapumbavu yes hio nakubalina na wewe kwa asilimia Trilion 1Makonda ni Big Brain, usifananishe Uwezo wake na Uozo uloujaza Kwenye hilo bichwa Kipara
Huyu ni Big Brain kwenye Taifa la WapumbavuNdio yale yale ya kwenye madawa unakuja kuishia kuchafua watu kwani kiongozi unashindwa kufanya kazi kimya kimya kesho watu watatofautiana mitazamo wataenda kutajana kwa RC kama wezi nia njema isipokua na dhamira njema huishia kwenye uovu na soon usishangae target ikawa wanasiasa