Nimesikitika kuona kuna majinga yanashabikia huu upumbavu wa bashite.
Kwa utaratibu huo wa zero brain bashite hiyo kesi mahakamani Serikali lazima ishindwe.
Kuna kipindi bashite alivyokuwa rc dsm alikurupuka kuwaambia akina mama waliotelekezewa watoto wafike ofisini kwake, walivyokuwa wajinga hao akinamama walijazana ofisini kwake na hakuna hata mmoja aliyesaidiwa just imagine kuna mmama mmoja mjinga kama bashite alipewa mimba na mchina ambaye alisharudi kwao china naye alikwenda kwa zero brai mwenzake bashite akiwa na kitoto ki halfcast cha kichina akitaka msaada.
Huyu zero brai bashite akilala akiamka anaibuka na ishu zake very outrageous