RC Makonda atangaza rasmi ratiba ya kufunga na kufungua Mwaka Arusha

RC Makonda atangaza rasmi ratiba ya kufunga na kufungua Mwaka Arusha

Ni sawa, jambo ambalo yy amewezesha ni wazo, eneo la watu kukusanyika mahali pamoja na coordinatios, hii ni fursa kwa wafanyabiashara kufanya biashara katika maana halisi kwamba faida wataipata, lkn kwa wananchi kwamba huduma nyingi watazipata eneo moja katika nyakati moja. Practically uchumi wa kila muhusika utakuwa stimulated in one way or another. Tusifikirie only negative mzee mambo mengine tumpe hongera!!....
Sijafikiria negative nimeleta challenge maana maisha ya wabongo tunajijua weng ni unga unga,na mifumo si imara kwa maana baada ya kusanyiko kuna fursa hutokea watu wanaporudi mahome....
 
Nilidhani yeye ni Mkuu wa Mkoa, ila nashangaa kila wakati anaongelea tu Arusha mjini. Anafanya vitu ambavyo in a long run havina msaada wowote, just to get him trending. Arusha ni zaidi ya hapo mjini, he has to invest his time dealing with the other parts of Arusha (which is where most struggling citizens are residing at) as well
Acha roho mbaya ,huko vijijini mara nyingi tu upo , halafu kwani ofisi yake iko wapi ?
 
Mtu mwenye elimu ndogo utamjua tuu. Hukuza matukio badala ya fikra!!! Awamu hii Wanachuga wamepatwa vilivyo. Kwa hiyo Mkuu wa Mkoa hajui kama Wanaarusha husherehekeaji hizo siku?
Nawe unahangaika na elimu kisa tu una basic certificate of ignorance vyeti vingine yamekuwa Kama makaratasi tu halilisaidii Taifa
 
Nilidhani yeye ni Mkuu wa Mkoa, ila nashangaa kila wakati anaongelea tu Arusha mjini. Anafanya vitu ambavyo in a long run havina msaada wowote, just to get him trending. Arusha ni zaidi ya hapo mjini, he has to invest his time dealing with the other parts of Arusha (which is where most struggling citizens are residing at) as well
Mjini ndio kuna kiki kubwa.
 
Nawe unahangaika na elimu kisa tu una basic certificate of ignorance vyeti vingine yamekuwa Kama makaratasi tu halilisaidii Taifa
Mkuu kama elimu haina maana, ishauri serikali ifute shule na vyuo. Ukuda huu wa umbumbumbu na uchawa uko ukingoni!! Issues za kusherehekea sherehe za kidini siyo agenda, ni desturi. Tumeshindwa kuwashauri wananchi namna ya kusherehekea siku ya Uhuru wa nchi yao,leo tunahamisha magoli.
Kiki za kijinga, mara landrover mara nyama festival upuuzi mtupu.
Eti anafundisha watu wa Arusha namna ya kuchoma nyama. A foolish idea.
 
elimu imeingiaje hapa ?
Kazi ya kuwaelekeza watu kama wa Arusha namna ya kuchoma nyama, au kunywa bia ni ulimbukeni na siyo kazi ya Mkuu wa Mkoa. Ni aina fulani ya ushamba unaoendana na upungufu wa elimu.
 
Kazi ya kuwaelekeza watu kama wa Arusha namna ya kuchoma nyama, au kunywa bia ni ulimbukeni na siyo kazi ya Mkuu wa Mkoa. Ni aina fulani ya ushamba unaoendana na upungufu wa elimu.
Ah kweli kuna watu wana wivu wa kukaza fuvu kabisa. 😂
 
Back
Top Bottom