RC Makonda atangaza rasmi ratiba ya kufunga na kufungua Mwaka Arusha

Sijafikiria negative nimeleta challenge maana maisha ya wabongo tunajijua weng ni unga unga,na mifumo si imara kwa maana baada ya kusanyiko kuna fursa hutokea watu wanaporudi mahome....
 
Acha roho mbaya ,huko vijijini mara nyingi tu upo , halafu kwani ofisi yake iko wapi ?
 
Mtu mwenye elimu ndogo utamjua tuu. Hukuza matukio badala ya fikra!!! Awamu hii Wanachuga wamepatwa vilivyo. Kwa hiyo Mkuu wa Mkoa hajui kama Wanaarusha husherehekeaji hizo siku?
Nawe unahangaika na elimu kisa tu una basic certificate of ignorance vyeti vingine yamekuwa Kama makaratasi tu halilisaidii Taifa
 
Mjini ndio kuna kiki kubwa.
 
Mtu mwenye elimu ndogo utamjua tuu. Hukuza matukio badala ya fikra!!! Awamu hii Wanachuga wamepatwa vilivyo. Kwa hiyo Mkuu wa Mkoa hajui kama Wanaarusha husherehekeaji hizo siku?
elimu imeingiaje hapa ?
 
Nawe unahangaika na elimu kisa tu una basic certificate of ignorance vyeti vingine yamekuwa Kama makaratasi tu halilisaidii Taifa
Mkuu kama elimu haina maana, ishauri serikali ifute shule na vyuo. Ukuda huu wa umbumbumbu na uchawa uko ukingoni!! Issues za kusherehekea sherehe za kidini siyo agenda, ni desturi. Tumeshindwa kuwashauri wananchi namna ya kusherehekea siku ya Uhuru wa nchi yao,leo tunahamisha magoli.
Kiki za kijinga, mara landrover mara nyama festival upuuzi mtupu.
Eti anafundisha watu wa Arusha namna ya kuchoma nyama. A foolish idea.
 
elimu imeingiaje hapa ?
Kazi ya kuwaelekeza watu kama wa Arusha namna ya kuchoma nyama, au kunywa bia ni ulimbukeni na siyo kazi ya Mkuu wa Mkoa. Ni aina fulani ya ushamba unaoendana na upungufu wa elimu.
 
Upumbavu wako ndiyo unaoana Makonda ni mbunifu. Infact elimu ya Tanzania inafanya watu wawe wapumbafu kiasi cha kuita cheap popularity seekers kuwa ni wabinifu.
Ni mbunifu bhana, it can openly be seen.
 
Kazi ya kuwaelekeza watu kama wa Arusha namna ya kuchoma nyama, au kunywa bia ni ulimbukeni na siyo kazi ya Mkuu wa Mkoa. Ni aina fulani ya ushamba unaoendana na upungufu wa elimu.
Ah kweli kuna watu wana wivu wa kukaza fuvu kabisa. πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…