RC Makonda atoa saa 24 kuwakamata Wabunge kama wazururaji endapo hawatarudi Bungeni. Wabunge wamjibu

Fanya kazi kiongozi,Acha mambo ambayo hayakusaidii wewe binafsi,Tafuta pesa
 
Mimi nimeshangaa spika akiwashambulia Upinzani eti tu wako Safe karantine..Hilo halina mantiki kwa watu wenye kufikiri mimi nilitegemea awambie wenzake waliobaki bungeni kwamba wakatwe posho zao kubwa kbwa wanazopata at least 10percent zksaidie kpambana na janga la Korona..Mkuu wa kiti cha bunge amedhani kupgia kelele hili la upinzani ndy kuwa wananchi wataona yy na wenzake ndy wazalendo hapana..mi naamini wamebana pale kwa sababu wameamua kuvuna njululu na sio uzalendo.
Nimeshangaa sana bunge Zima limeshindwa hata kutoa mchango wa kpambana na janga hili..hili bunge limejaa watu wasio na huruma na wawakilishi waliowapa kura na Kula yao..
Wakirudi majimboni tupige chini wote mazima tuanze moja!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema hawajawahi kuwa serious
Walutamba watakua dodo kwa karantjni ya siku 14,kumbe wote wanazurura huko Dad,ajabu walikua wanataka Dar ifungwe kwa kuwa ina wagonjwa wengj,lakini wao wamejazana huko wakila bata
 
Kitu cha kwanza kabisa unachotakiwa kujua ni kwamba, kwa wakati huu, wabunge walitakiwa kukutana kimtandao kutoka popote nchini.

Kujazana bungeni wakati Covid-19 ishaingia bungeni ni ujuha mkubwa sana.
kitu kinachowatoa udenda ni posho tuu hakuna cha zaidi, tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu wengine wanajijua hawatarudi hivyo bora kutafuna posho za makalio za kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah tunakoelekea sijui ni wapi, hili mweshimiwa alosema ni la utashi au ndo maswala ya siasaaa? ila nipo hapa naangalia hizi episodes zinavyozidi kuteremshwa
 
Mkuu wa mkoa woqite Tanzania ana mamlaka ya ukinzi na usalqma katika mkoa wake, msipime, Zitto anawaingiza "mkenge"
 
Bashite ni tatizo, upumbavu na ujinga anaoufanya huyu zero brain ni ule ambao nilioufanya miaka 25 iliyopita nilipokuwa primary school, nakumbuka nilikuwa na jeuri, kiburi na masifa ya kijinga kwa vile baba yangu alikuwa "Si" "O" pale 800's KJ.

Hebu jitafakari mara mbili bro mbingunikwetu unafeli wapi! Je unastahili kuendelea kuwepo hapo ulipo?

Kwanini kila siku ww tu? Una tatizo gani ww? Kama elimu huna si utumie hata kiakili chako kidogo, kabla hujaropoka kauli zako uwe unazitafakari kwanza na kuwauliza watu wenye uelewa wa masuala unayotaka kuyazungumzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…