Wew ulikuwepo mjengoni kama nani? Tutakuamini vipi?
Kweli kabisa mkuu. Sijui tumefikaje huku......
.....We need to Rithink Tumepotea
Habari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.
Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!
Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.
Mnakula tu ubuyuShilawadu, Shilawadu, nawaona nawaona!
Yaani sana Mpk hurumaZote ni juhudi za kuzima vyeti. Clouds ndo walikuwa wanaonekana sehemi yake ya kukimbilia. Kama na wao wanamkataa atakuwa na hali ngumu sana.
Faiza unalizungumziaje hili la bashite kuvamia studio za clouds?..kwa mujibu wa "video clip"..iliyopo humu jamvini.
umeona eehh....wangelipua mabomu nakupiga risasi ovyo ovyo ndio tungeita uvamizi..Hiyo video clip niliyoyaona ni fupi sana na inaonesha watu wawili na askari wawili.
Sioni uvamizi wowote hapo.
Haya sasa wewe uliyejifanya mfanyakazi wa Clouds, umeona clip ya CCTV? Acha ujinga banaHabari kama hizi za kichochezi na za uzushi ndizo zinazotuponza wanaJf mbona tuliokuepo mjengoni mda huo hatujasikia lolote na hakuna chochote kilichotokea.
Au umetumwa?
Clouds ni taasisi kubwa inayoongozwa kwa misingi na taratibu zake haiwezekani mtu from no where aje tu aingie mpaka peoduction bila kufata utaratibu!
Acha uzushi watanzania puuzeni hizi taarifa si za kweli!!.
Hapana.
Utakuwa ni mpumbavu kabisa ukidhani kuwa kwa vile tu na yeye ni Msukuma basi anawakilisha Wasukuma wote na kwamba kila afanyacho kinahusu Wasukuma wote.
Mimi huyo mtu simjui na yeye hanijui.
Hanipi hata senti moja ya ujira wake.
Sasa anatutia aibu kivipi wakati yeye ni mtu binafsi na kila Msukuma ni mtu binafsi?
Kudhani hivyo ni akili za kiju.ha kabisa.
Yeye siyo balozi wa Wasukuma. Iweje sasa kila afanyayo yanitie aibu mtu huru kama mimi?
Nyie ndo watu mnaotazama mambo kupitia tundu la ukabila na ndo maana mmeshaanza kulia lia kuhusu mambo ya ukabila.
Kwa hiyo hapana. Mimi hanitii aibu hata kidogo. Simjui hanijui.
Kama anafanya mambo ya kutia aibu basi anajitia aibu yeye mwenyewe na labda mtu au watu waliomweka kwenye hiyo nafasi alonayo.
Tafadhali usinihusishe kabisa na mambo afanyayo huyo mtu. Mimi najielewa kupita kiasi na najiwakilisha mwenyewe.
Siwakilishi mtu mwingine [ukiacha mwanangu na familia yangu ya karibu] na siwakilishwi na mtu ukiondoa hao hapo niliowataja kwenye mabano.
Hiyo video clip niliyoyaona ni fupi sana na inaonesha watu wawili na askari wawili.
Sioni uvamizi wowote hapo.
Mange ni 'level' nyingine naomba tumuombe atumie umahiri wake tujue alipo mwenzetu Ben SananeAcheni kumfananisha Mange na vitu vya kijinga
Mie nahisi ni hazina kwa umma wa Tanzania atusaidie kujua alipo Ben Sanane maana anavyanzo vingi vya taarifadaah ila huyu ma!nge aombage asije kukama.twa akiwa hai aisee make raia nahisi watamch!una ngo!zi na watalazimisha kuivaa mbele yake, sio kwa upumb.avu anaoufanya
mange akiichukua issue ya Ben ni sekunde tu info Zote tunazipataMange ni 'level' nyingine naomba tumuombe atumie umahiri wake tujue alipo mwenzetu Ben Sanane