RC Makonda avamia Clouds na kuwatisha SHILAWADU

huyo soudy ange ongea chochote tupate mwanga maana kila mtu ana habari zake
 

Bado unaona ni habari za uzushi?
 
Walioenda koromije waanze kurudi, mtu wao hasafishiki.....
 
Faiza unalizungumziaje hili la bashite kuvamia studio za clouds?..kwa mujibu wa "video clip"..iliyopo humu jamvini.

Hiyo video clip niliyoyaona ni fupi sana na inaonesha watu wawili na askari wawili.

Sioni uvamizi wowote hapo.
 
Haya sasa wewe uliyejifanya mfanyakazi wa Clouds, umeona clip ya CCTV? Acha ujinga bana
 

Nyani majibu yako huwa ni ya mistari miwili mitatu. Mbona hili umelia hivi?? sio jiwe la utosi kweli
 
Hiyo video clip niliyoyaona ni fupi sana na inaonesha watu wawili na askari wawili.

Sioni uvamizi wowote hapo.

Hata mimi sijaona uvamizi wowote ule hapo.

Unless labda neno uvamizi lina maana tofauti siku hizi.
 
Yaani ishu ndogo ameikuza imekuwa kubwa si angepeleka vyeti ili waumbuke tu
 
daah ila huyu ma!nge aombage asije kukama.twa akiwa hai aisee make raia nahisi watamch!una ngo!zi na watalazimisha kuivaa mbele yake, sio kwa upumb.avu anaoufanya
Mie nahisi ni hazina kwa umma wa Tanzania atusaidie kujua alipo Ben Sanane maana anavyanzo vingi vya taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…