jameson567
JF-Expert Member
- Mar 14, 2018
- 536
- 3,289
Mkuu nimemshangaa sana huyo jamaa na nimemueleza. Anaona bora Makonda akae ofisini ale mshahara kama wengine kuliko kuzunguka kwa wananchi ili asimzidi Nchimbi, Majaliwa na Raisi wake anayeshinda anazunguka angani kesho South Korea. Mpaka unajiuliza hii ni roho mbaya au ndo uchawi wenyewe!?,watu hawafikirii shida za watu wanawaza politics tu, na unakuta huyu jamaa ana ndugu zake kibao wenye shida kibao na waliodhurumiwa ila yeye anawaza siasa tu.Hii ni aina nyingine ya uchawi. Hadharani kabisa imagine!
Hivi, kuna ubaya gani Makonda akiendelea kuwa Makonda bila ninyi kumuhesabu Kama threat haswa kwa mamlaka ya Urais na wateule wake?
Kwenye system ya family yenu, hakuna mchapa kazi zaidi yenu na mtii kwa wazazi zaidi yenu? Nae mnamroga?
If only wote tungemchukulia positively huyu Makonda, who knows?! Maybe angekua muarubaini wa matatizo mengi katika maeneo mengi hapa nchini kiasi wateule wengi wangepunguziwa mizigo na kurahisishiwa kazi na hatimaye the main goal ya Tanzania yenye Ustawi likawa attained!
Au ndio tuendelee kupingana tufanye Siasa kutimiza wajibu kwa “mabwana zetu?
#TzPolifix