RC Makonda: Bei ya vinywaji itashushwa kwa masaa 6 Dar kama Taifa Stars itaishinda Uganda

Hapa ndipo napomdharau huyu mkuu wa mkoa, mambo anayofanya mengine anajidhalilisha na kuaibisha nafasi aliyonayo

Hilo ni swala ambalo haliwezekani,

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Haya matamko mengine inabidi mtu afikirie vizuri.
Hivyo vinywaji ni vyake?
Kama siyo vyake anawezaje kupangia wafanya biashara bei bila utataratibu? Au ataamuru buge lipunguze bei.
Anaweza sema kuwa atalipia hilo ongezeko, je anajua ni kiasi gani cha vinywaji kitatumika?

Aache hayo matamko ya kishabiki
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huonagi thread za watu wanalialia kukimbiwa bada ya kutuma nauli na block juu
Hao wanawashwaga na Id mpya ndo yanawakuta hayo.. Iv ni nauli tu ndo mnawekeana na block juu
 
Atawafidia wafanyabishara katika hilo punguzo la bei? Influence yake ndani ya jiji inahusiana vipi na kupunguza bei za vinywaji ndani ya jiji...
 
kwa hiyo wafanyabiashara watalazimika kushusha bei?
 
Mi sijaelewa namna atakavyo fix hvo vinywaji kwa wauzaji
Kwa nilivomuelewa,anasema kuwa watafunga baadhi ya mitaa na kufanya party,pia vinywaji vitakua nusu bei

So hiyo nusu bei labda itakua kwenye hizo sehemu itakapofanyika hiyo party kama Taifa stars ikishinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…