RC Makonda na DC Jokate mlisubiri hadi Mke wa Babu Tale Marehemu Shammy Kombo akate Roho ndiyo mjimwambafai kuwa aliwaomba mumlelee Watoto?

RC Makonda na DC Jokate mlisubiri hadi Mke wa Babu Tale Marehemu Shammy Kombo akate Roho ndiyo mjimwambafai kuwa aliwaomba mumlelee Watoto?

Hivi mnavyotafuta Sifa na Umaarufu Mitandaoni hasa kwa Kujimwambafai katika Kurasa zenu za Mitandao kuwa Mke wa Babu Tale Marehemu Shammy Kombo aliwaomba mumlelee Watoto zake ( wake ) mnataka kusema kuwa aliona Mumewe hawezi Kuwalea hao Watoto au Mumewe hana tena Uwezo wa Kiuchumi wa Kuwalea hao Wanae au hapa mnataka Kututumia Ujumbe Sisi Wafiwa na Marafiki wa Kawaida?

Kuna Watu mnakera kweli kweli hapa Tanzania!
Kaka wewe ndio umejua leo kuwa wanakera... watu wenye akili walishaacha kuwasikiliza hao wehu kitambo...wamebaki na wehu wenzao i.e Steve nyerere, Lemumburulaz, Diamond...N.K acha kupoteza mda nkijadili wapumbavu...
 
Dah tanzania tuna nini lakini,hivi huu ujinga upo?inawezekana kama kwingine upo basi ni 2%iliyobakia yetu!
 
...Kuna Neno kubwa hapo. Uache kumuambia Mumeo ama Mkeo anayeumwa sana kwamba ukiondoka awaangalie Watoto WENU, ukawaambie Watu Baki ambao Ukifariki tu Mazungumzo uliyoongea nao wanayaweka hadhari na kuleta picha mbaya mwenza aliyebaki???[emoji848]
Watuambie yote waliiyoongea naye ili tuone Picha halisi....[emoji848][emoji848]!
I got your point
 
Kuna Tukio la Mtu kutaka Kugombea Ubunge Jimbo moja maarufu hapa Dar es Salaam, hivyo akigombea tu najua Kahusika 100% na huu Msiba.


Kugombea ni haki yake jamani wala tusimhukukumu kwa mambo ya kuzaniazania.

Akigombea Dar kupata siyo rahisi hata afanyeje watu wa Dar wastani wanajielewa ingawa na wanafiki wapo lakini siyo rahisi sana kwa yeye akigombea jimbo mojawapo la Dar kupata,

Labda kidogo aelekee maeneo ya Temeke huko , Ukonga, na Kinondoni .

Namshauri akagombee majimbo ya maporini huko ambako hata mambo yanavyoenda hawajui,
 
Wabongo acheni stori za kinafiki, kila kitu mnajifanya mnajua, hebu leteni mawazo chanja tujikomboe kwenye Lindi la umasikini badala ya kujadili maisha ya watu
 
Alijua ameshatolewa Kafara, hivyo akawaomba makonda na Jokate wawalinde watoto wake ili nao wasije kutolewa kafara.
Hii ndio WCB
Hiyo kafara inatolewa wapi nami nikakutoe nitusue.
 
usisahau siku hizi misiba ni sehemu ya kuonyesha ww ni nani..unafanya nn..unakitu gani..unamchango gani...nilikwendaga kwenye msiba kwa mjomba wangu sasa kwa bahati mbaya..watu walikuwa wanasimamishwa na wanajieleze kuwa yeye ni nani..anatoka wapi..kazi yake...alafu na mchango wake
Hiyo niliikuta kwenye misiba ya kijaluo.
 
Mauzauza gani? Yaani nyie mtu ngozi nyeusi mnapenda kutafutiza vitu hatari! Kwani mtu kufa ndo kaanza mke wa tale? Acheni kuyafanya mambo yaonekane sivyo kumbe akili zenu ndo sivyo. Msiba umetokea, maelezo yametolewa na madaktari kilichosababisha kifo chake, haya makandokando mnayotaka kuya develop ni kukosa vitu vya kufanya coz the idle mind is a workshop of devel.
Sallam nae kasimulia eti Tale alihamia kwa Sallam kisa anaogopa kuwaambia watoto mama yao yupo wapi. Hivi mkeo anaumwa kalazwa ndo muda unatakiwa uwe na wanao karibu. Na alitakiwa awaambie wanae ukweli. Au roho ilikuwa inamsuta ?Kuugua kwa Shamsa kuna mauza uza mengi.
 
Back
Top Bottom