Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Huu ni udhalilishaji, na wakili wa TLS ameshirikiana na Makonda kudhalilisha huyu mama.
Wanasheria wa Halmashauri hawaendi Mahakamani, kwa mujibu wake, kwa sasa Ofisi ya wakili mkuu iliyopo DSM ndio wanafanya hiyo kazi.
Yeye anasema walishawaandikia ofisi ya Wakili Mkuu kuchukua hatua hizo kwasababu kwa sasa wao hawaendi Mahakamani. Lakini bado anadhalilishwa.
Wanasheria wa Halmashauri hawaendi Mahakamani, kwa mujibu wake, kwa sasa Ofisi ya wakili mkuu iliyopo DSM ndio wanafanya hiyo kazi.
Yeye anasema walishawaandikia ofisi ya Wakili Mkuu kuchukua hatua hizo kwasababu kwa sasa wao hawaendi Mahakamani. Lakini bado anadhalilishwa.