Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Usiongeze neno, wasiokuelewa hawatakuelewa kamwe,achana nao mkuu.halmashauri waliwakilishwa na "wakili mkuu", halmashauri hawakuwa na wajibu wowote kufanya, ila wakili mkuu. wakili mkuu na halmashauri ni ofisi mbili tofauti.