RC Makonda na Mwanasheria wa Arusha wameshirikiana kumdhalilisha huyu mama

RC Makonda na Mwanasheria wa Arusha wameshirikiana kumdhalilisha huyu mama

nadhani yule mwenye mandate kuappear Mahakamani ndiye mwenye wajibu huo. Ofisi ya Wakili Mkuu ndiyo ilikuwa na wajibu huo. Kama wanasheria wa halmashauri hawana mandate kuappear Mahakamani, Mahakama itaamuaje jambo kuwarushia zigo wao wakati sio party kwenye kesi? yaani jambo lolote la kesi ya madai likiikuta taasisi yeyote ya serikali, ile taasisi inatakiwa kurusha zigo hilo kwa wakili mkuu, yeye ndiye atafanya kila kitu na amewekwa mahsusi kwa ajili ya hilo. hata kama kuna kitu halmashauri watatakiwa kufanya, ni kwa maelekezo ya wakili mkuu.
Usijifiche tubkwenye hicho kichaka cha wanassheria wa halmashauri hawana "mandate" ya kusimama mahakamani.

Huoni kama ofisi ya mwanasheria ya halmasshauri ilikua inawajibika kiwasilisha "notice" ya rufaa kwa wadai, kama vile tu ilivowajibika kuandika barua ofisi ya mwanasheria mkuu?
 
Usijifiche tubkwenye hicho kichaka cha wanassheria wa halmashauri hawana "mandate" ya kusimama mahakamani.

Huoni kama ofisi ya mwanasheria ya halmasshauri ilikua inawajibika kiwasilisha "notice" ya rufaa kwa wadai, kama vile tu ilivowajibika kuandika barua ofisi ya mwanasheria mkuu?
kwani notisi ya rufaa kwa wadai inapelekwa wapi ndugu, kwa wadai au inafailiwa mahakamani?
 
kwani notisi ya rufaa kwa wadai inapelekwa wapi ndugu, kwa wadai au inafailiwa mahakamani?
Unaniuliza mimi tena, haya sema hapa msingi wa mahakama ya rufaa kuitupa hiyo rufaa ilikua ni sabau gani kulingana na maelezo ya huyo meakilishi wa TLS.
 
Unaniuliza mimi tena, haya sema hapa msingi wa mahakama ya rufaa kuitupa hiyo rufaa ilikua ni sabau gani kulingana na maelezo ya huyo meakilishi wa TLS.
nataka kupata akili yako kama unajua chochote cha mahakamani au nabishana na mtu anayejua tu siasa. notice ya rufaa huwa inapelekwa Mahakamani, na kama kuisambaza mwenye wajibu ni yule aliyefaili hiyo notice, ambaye ni solicitor general.
 
usichojua na ninachosema ni kwamba, mwenye wajibu wa kukata rufaa hakuwa huyo mama, ni wajibu wa WAKILI MKUU, hiyo ni ofisi nyingine kabisa yenye mwajiri mwingine kabisa inajitegemea na serikali imeiunda ili kesi zote za madai za uma hao wanasheria wa halmashauri wasiende, aende WAKILI MKUU, ndio maana alikuwa anahangaika kumwambia walimwandikia WAKILI MKUU barua ili afanye hizo taratibu kwasababu wanasheria wa halmashauri hawana mamlaka kwenda mahakamani, wanatakiwa kuwakilishwa na WAKILI MKUU.
Wewe huna akili na wasiwasi wewe ndio mhusika unakuja hapa
 
Daaah
Huu ni udhalilishaji, na wakili wa TLS ameshirikiana na Makonda kudhalilisha huyu mama.

Wanasheria wa Halmashauri hawaendi Mahakamani, kwa mujibu wake, kwa sasa Ofisi ya wakili mkuu iliyopo DSM ndio wanafanya hiyo kazi. Yeye anasema walishawaandikia ofisi ya Wakili Mkuu kuchukua hatua hizo kwasababu kwa sasa wao hawaendi Mahakamani. Lakini bado anadhalilishwa.

View attachment 3002024
 
nataka kupata akili yako kama unajua chochote cha mahakamani au nabishana na mtu anayejua tu siasa. notice ya rufaa huwa inapelekwa Mahakamani, na kama kuisambaza mwenye wajibu ni yule aliyefaili hiyo notice, ambaye ni solicitor general.
Nijue chochote kuhusu mahakama? Hiyo "Clip" umepandisha kwa lengo gani? Uchambuzi wote hapa marejeo yake ni hiyo "Clip".

Irudie kusikiliza hiyo "Clip", halafu urudi hapa kunijibu, hao ni kwa sababu ipi mahakama ya rufaa iliitupa rufaa hiyo.
 
Huu ni udhalilishaji, na wakili wa TLS ameshirikiana na Makonda kudhalilisha huyu mama.

Wanasheria wa Halmashauri hawaendi Mahakamani, kwa mujibu wake, kwa sasa Ofisi ya wakili mkuu iliyopo DSM ndio wanafanya hiyo kazi. Yeye anasema walishawaandikia ofisi ya Wakili Mkuu kuchukua hatua hizo kwasababu kwa sasa wao hawaendi Mahakamani. Lakini bado anadhalilishwa.

View attachment 3002024
Screenshot_20231102_120808_Remix.png
 
usichojua na ninachosema ni kwamba, mwenye wajibu wa kukata rufaa hakuwa huyo mama, ni wajibu wa WAKILI MKUU, hiyo ni ofisi nyingine kabisa yenye mwajiri mwingine kabisa inajitegemea na serikali imeiunda ili kesi zote za madai za uma hao wanasheria wa halmashauri wasiende, aende WAKILI MKUU, ndio maana alikuwa anahangaika kumwambia walimwandikia WAKILI MKUU barua ili afanye hizo taratibu kwasababu wanasheria wa halmashauri hawana mamlaka kwenda mahakamani, wanatakiwa kuwakilishwa na WAKILI MKUU.
Huyo ameamua tu kutokuelewa ...achana naye....
 
Nijue chochote kuhusu mahakama? Hiyo "Clip" umepandisha kwa lengo gani? Uchambuzi wote hapa marejeo yake ni hiyo "Clip".

Irudie kusikiliza hiyo "Clip", halafu urudi hapa kunijibu, hao ni kwa sababu ipi mahakama ya rufaa iliitupa rufaa hiyo.
kuna maneno mle kwenye clip yanakuchanganya, anaposema "halmashauri haikukata rufaa", usifikiri halmashauri ndio inaenda mahakamani, anayeenda na kuongea na kufile nyaraka na kufanya wajibu wote mahakamani ni 'WAKILI MKUU" ambaye ndiye serikali imeunda ofisi hiyo kusimamia kesi za madai za taasisi zote za serikali. hivyo hapa WAKILI MKUU ndiye alifanya uzembe, sio huyo mama. nimekueleza, ukiona kuna kesi yeyote ya madai dhidi ya serikali au taasisi yake yeyote, hata kama kwenye ile taasisi, WAKILI MKUU ndiye amewekwa na serikali kuwakilisha, sawa tu na jinai zote nchini zinawakilishwa mahakamani na DPP. DPP na wakili mkuu ni taasisi mbili zimeundwa na serikali, moja kuwakilisha madai yote na nyingine kuwakilisha jinai zote. huyo mama hakuwa na wajibu wowote hapo, mwenye wajibu alikuwa wakili mkuu, na hao mawakili wa serikali wanatajwa na huyo advocate wa TLS wanatoka OFISI YA WAKILI MKUU.
 
kuna maneno mle kwenye clip yanakuchanganya, anaposema "halmashauri haikukata rufaa", usifikiri halmashauri ndio inaenda mahakamani, anayeenda na kuongea na kufile nyaraka na kufanya wajibu wote mahakamani ni 'WAKILI MKUU" ambaye ndiye serikali imeunda ofisi hiyo kusimamia kesi za madai za taasisi zote za serikali. hivyo hapa WAKILI MKUU ndiye alifanya uzembe, sio huyo mama. nimekueleza, ukiona kuna kesi yeyote ya madai dhidi ya serikali au taasisi yake yeyote, hata kama kwenye ile taasisi, WAKILI MKUU ndiye amewekwa na serikali kuwakilisha, sawa tu na jinai zote nchini zinawakilishwa mahakamani na DPP. DPP na wakili mkuu ni taasisi mbili zimeundwa na serikali, moja kuwakilisha madai yote na nyingine kuwakilisha jinai zote. huyo mama hakuwa na wajibu wowote hapo, mwenye wajibu alikuwa wakili mkuu, na hao mawakili wa serikali wanatajwa na huyo advocate wa TLS wanatoka OFISI YA WAKILI MKUU.
Boss, hayo maneno hayajanichanganya, yamekuchanganya wewe, na naona una uelewa sawa kabisa na huyo mwanasheria wa halmashauri.

Tumia ubongo vizuri kufikiri na kutafakari, acha kukariri.
 
Boss, hayo maneno hayajanichanganya, yamekuchanganya wewe, na naona una uelewa sawa kabisa na huyo mwanasheria wa halmashauri.

Tumia ubongo vizuri kufikiri na kutafakari, acha kukariri.
hujakosea, mimi nina uelewa sawa na huyo mwanasheria wa halmashauri, ila wewe ubongo wako kama wa bashite. hao mawakili wa serikali waliosimamia hiyo kesi waliokuwa na wajibu kupeleka hiyo notice, hawatoki halmashauri, wanatoka kwa WAKILI MKUU, na ndicho alichokisema wakili wa TLS huyo. sasa wewe na bashite mtuambie, huyo mama mnatwishaje wajibu wakati yeye hana mandate kusimama mahakamani? anawakilishwa na mwanasheria wake ambaye ni WAKILI MKUU? kama hutaelewa hadi hapa, basi akili zako zitakuwa za kutupa kweney dustbin. na kwa bahati mbaya, huyo wakili anamtetemekea bashite kwasababu ameajiriwa na DED, hivyo bashite ni boss wake, wakati hao wa WAKILI MKUU waliokuwa na wajibu, bashite hata kuwaita tu hapo kwenye mkutano hawezi. namshauri huyo mama aachane na halmashauri aje mtaani afungue ofisi tupige kazi badala ya kuhangaishwa na kuwa chini hadi ya bashitee?
 
Makonda piga kazi.usisikilize kelele za hawa vyura wanaotapatapa.
 
ukiangalia clip, labda kama hauna bando, sijalalamikia wengine wote, ila eneo la uyo mama kwamba akitaka kufafanua bashite hampi nafasi. Kuna kesi imeonekana walishindwa na walitakiwa wakate rufaa, wanaotakiwa kuandaa nyaraka na kukata rufaa sio huyo mwanasheria, ni Ofisi ya Wakili MKuu. bashite anaonekana hajui nini maana ya wakili mkuu, anaendelea kumkandamiza huyo mama kwamba kwanini hajakata rufaa hadi leo, wakati Mama ameshamwabia tuliandika barua kwa WAKILI MKUU kumpa update na yeye ndiye alitakiwa akate rufaa kwasababu hao wanasheria wa halmashauri kwa sasa hawaendi Mahakamani, wanawakilishwa na Wakili Mkuu.

kwa msio jua, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, ukiondoa pale kwa feleshi, kuna matawi mawili, tawi la kwanza ni la jinai ambako yupo DPP, na tawi la pili kuna WAKILI MKUU ambako ni kesi za madai zote. hizo kesi za halmashauri ni za madai, hata kama wewe ni mwanasheria wa halmashauri au wa taasisi yeyote ya kiserikali huwezi kwenda mahakamani kwenye jambo la madai, serikali imeunda taasisi ya WAKILI MKUU, huyo ndiye anaiwakilisha serikali kwenye kesi zooote za madai.

sasa mama anamwambia bashite tulishaandika barua kwa wakili mkuu, na bashite bado anaendelea kumng'ang'ania kwamba kwanini haujakata rufaa, rufaa ipi sasa wakati anayekata rufaa sio halmashauri bali ni Wakili Mkuu ambaye ofisi yake ipo hapa hapa DSM?
Wewe, andika kifupitu utaeleweka, mgazeti wanini wote huu, kwani unalipwa?.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
usichojua na ninachosema ni kwamba, mwenye wajibu wa kukata rufaa hakuwa huyo mama, ni wajibu wa WAKILI MKUU, hiyo ni ofisi nyingine kabisa yenye mwajiri mwingine kabisa inajitegemea na serikali imeiunda ili kesi zote za madai za uma hao wanasheria wa halmashauri wasiende, aende WAKILI MKUU, ndio maana alikuwa anahangaika kumwambia walimwandikia WAKILI MKUU barua ili afanye hizo taratibu kwasababu wanasheria wa halmashauri hawana mamlaka kwenda mahakamani, wanatakiwa kuwakilishwa na WAKILI MKUU.
Dondo za kesi ni nini na kwanini hiyo hatua ambayo Halmashauri walijiwakilisha walishindwa
 
Ungeanza kutuletea mwanzo wa hiyo clip uone uozo huyo mwanasheria mjivuni na mbinafsi unayetaka kumtetea wewe hapo.

Weka tangu ilipoanza, siyo kuikata clip kuchagua maneno ili
Kueneze chuki zako hapa.
inamaanisha hakuna ufuatiliaji wa hiyo hukumu na rufaa waliyokata. Hata kama mwanasheria haendi mahakamani basi issue inayohusu ofisi yao wameshindwa hata kufuatlia? Mbona inaonyesha ofisi ya mwanasheria mkuu wali'file' ile appeal kwa mujibu wa sheria lakini kuna taarifa ambazo zilitakiwa zitoke halmaashauri wameshindwa kuzipeleka.
 
Dondo za kesi ni nini na kwanini hiyo hatua ambayo Halmashauri walijiwakilisha walishindwa
halmashauri waliwakilishwa na "wakili mkuu", halmashauri hawakuwa na wajibu wowote kufanya, ila wakili mkuu. wakili mkuu na halmashauri ni ofisi mbili tofauti.
 
Back
Top Bottom