Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Kweli Makonda ni BASHITE(Zero Brain):-
Jana nilikuwa natizama taarifa ya habari akatamka kabisa "SANTAIZA" hivi kweli makonda hajui vitakasa mikono vinaitwaje? Nikasema labda "Slip of the Tongue" kama Phillip Mulugo alivyosema nikasema haya ghafla akasisitiza kwamba makampuni ya simu wachange ring tone ziweke zinazotoa elimu jinsi ya kujikinga na corona.nikasema hivi kweli makonda hajui tofauti ya caller tunes na ring tones? Huyu jamaa kweli ni zero brain anaongea bila kuwa na uelewa.
Jana nilikuwa natizama taarifa ya habari akatamka kabisa "SANTAIZA" hivi kweli makonda hajui vitakasa mikono vinaitwaje? Nikasema labda "Slip of the Tongue" kama Phillip Mulugo alivyosema nikasema haya ghafla akasisitiza kwamba makampuni ya simu wachange ring tone ziweke zinazotoa elimu jinsi ya kujikinga na corona.nikasema hivi kweli makonda hajui tofauti ya caller tunes na ring tones? Huyu jamaa kweli ni zero brain anaongea bila kuwa na uelewa.