Tetesi: RC Mnyeti kufukuzwa kazi!

Wakichelewa mwajibisha ,wapo wazalendo watampoteza maisha.Mbegu mbaya sana hii ya laana,haifai kuachwa stawi ktk Tanganyika ya Jk Nyerere.Wapo chozi lao wakimlilia muumba halikauki.Bora Bashite yupo busy na wanyonge wa nchi hii.
 
Kichwa cha mnyeti hakina tofauti na cha mteuaji wake. Watu aina hii wanapendwa Sana na mkuu wao. Sio muda atamwagiwa sifa nyingi Sana. Angalia wale wenye maneno ya shombo kama kibajaji, bashte na Gambo wanavyopendwa na bosi wao.
 
Mimi naamini kuwa huwenda akazawadiwa cheo kikubwa zaidi kwa harakati zake za kendeleza ujenzi wa ukuta wa kuwagawa watanzania. Mamlaka ya uteuzi imeonyesha njia na 'wateule' wanafuata nyayo.
 
unaota hujui mkulu ni walewale tu naye anang`ata na kupuliza
 
Kwa ushahidi ule wa TAKUKURU kama hajafanywa chochote sahau mkuu.kumbuka kipindi kile alikuwa tu dc na akapandishwa kuwa rc.
 
Sitegemei chochote, sana sana utasikia " chapa kazi"
 
Awamu hii tunalo, ee Mungu tunusuru wajawako, kamakudhambi tulikutenda utusamehe bure.
 
Mnyeti ndo aina ya viongozi wa awanu ya 5 kuanzia juu hadi chini akili zao ziko kama mnyeti hapo usishangae rais akamsifia na kumpa vyeo vingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…