Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaachia ukumbusho wa kudumu kawajengea sehemu ya kuanikia mpunga,furu,udaga,na kuchezea mpiraHapo hapo chato kwa walima furu kuna uwanja wa ndege wa kuchezea bata na mwewe....
Hii nchi ilikua kwenye full fascism
Lami inadumu miaka mingapi hadi ije ifae.Kila kitu cha faa kulingana na vipaumbele vya mahitaji husika.je uwanja ni wa lzm sana kuliko vyuo vya ufundi?,Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Kila kitu kina bajeti yake. Vyuo vya ufundi muulize Profesa Ndalichako utakuelezea kwa kina.Lami inadumu miaka mingapi hadi ije ifae.Kila kitu cha faa kulingana na vipaumbele vya mahitaji husika.je uwanja ni wa lzm sana kuliko vyuo vya ufundi?,
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Shida ni viongozi wanajisahau, labda huyo RC mpya awe na maono na mipango thabitiIfike hatua madini ya wana geita yawanufaishe
Mwwwambie ajenge sio ashangae. Usikute akatoka hapo bila hata kujenga choo cha shimo.Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Mada NI geita chato inakuhusu kivipi?Stendi ya Chato pia Ina matope?
Atashangaa sana ndo kwanza kawa mkuu wa mkoa,yeye ajiandae kupiga hela za CSRMkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Unalinganisha uwanja wa ndege na Landmarks....... 🙄🙄🙄Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Ujumbe ni kuwa ipo kesho wakati mimi na wewe tukiwa tumeshafukiwa.Unalinganisha uwanja wa ndege na Landmarks....... 🙄🙄🙄
Nduhu taabu ,tuliho mayuuuMkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.
RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.
Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.
Chanzo: ITV habari!
Kateuliwa kuijenga sio kushangaa. Ni wajibu wake kuijenga.
Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.
Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.
Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.
Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Mkuu wa nchi ndie mwenye bajeti na ndo muamuziKila kitu kina bajeti yake. Vyuo vya ufundi muulize Profesa Ndalichako utakuelezea kwa kina.