RC mpya wa Geita ashangaa stendi kuu ya Mkoa kuwa ya matope wakati kuna utajiri wa dhahabu

RC mpya wa Geita ashangaa stendi kuu ya Mkoa kuwa ya matope wakati kuna utajiri wa dhahabu

Yaani NI kwamba ameteuliwa kuongoza mkoa ambao hata hajawahi kufika? Naona hii inakuwa Shida maana cheo hicho ni cha kisiasa inafaa mteuliwa awe anaufaham mkoa huo.
 
Ina maana wameshindwa hata kuwaambia mabeberu wamwage hata changarawe tu hii ni aibu sana si ajabu na ushuru wa stand wanachukua
 
Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.

Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.

Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.

Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Lami inadumu miaka mingapi hadi ije ifae.Kila kitu cha faa kulingana na vipaumbele vya mahitaji husika.je uwanja ni wa lzm sana kuliko vyuo vya ufundi?,
 
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.

RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.

Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.

Chanzo: ITV habari!

Hatuwezi kuwa sawa kwenye utendaji, kuna wengine wanapwaya kwa kukosa weledi na mipango mikakati
 
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.

RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.

Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.

Chanzo: ITV habari!
Mwwwambie ajenge sio ashangae. Usikute akatoka hapo bila hata kujenga choo cha shimo.
 
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.

RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.

Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.

Chanzo: ITV habari!
Atashangaa sana ndo kwanza kawa mkuu wa mkoa,yeye ajiandae kupiga hela za CSR
 
Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.

Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.

Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.

Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
Unalinganisha uwanja wa ndege na Landmarks....... 🙄🙄🙄
 
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.

RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.

Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.

Chanzo: ITV habari!
Nduhu taabu ,tuliho mayuuu
 
Walijengewa Chato Airport.Kupanga ni kuchagua
Mkuu mpya wa mkoa wa Geita Mheshimiwa Rose amesema ameshangazwa sana kukuta mkoa wa Geita una stendi kuu ya mabasi ya matope.

RC Rose amesema stendi ndio reception hivyo hutoa taswira ya mkoa ilivyo kwahiyo ni lazima utajiri wa dhahabu utumike kujenga stendi kuu ya kisasa na siyo hiyo ya kwenye matope.

Rose aliyasema hayo mbele ya wananchi na watendaji alipowasili mkoani Geita tayari kukabidhiwa ofisi.

Chanzo: ITV habari!
 
Siku fursa za maeneo hayo zikifunguka huo uwanja utakuwa kama ule wa Gbadolite ya Mobutu.
Tunachosahau watanzania ni ukweli kwamba sisi tunapita njia.

Huo uwanja utakuja kutumika siku fursa za maeneo hayo zikifunguka kwa mapana yake.

Walipo jenga minara ya São Paulo na Paris miaka mingi nyuma kwa wakati ule walionekana wajinga lakini leo hii ni vyanzo vya pesa za utalii za Brazil na france.

Tatizo letu waafrika ni kudhani maisha ni ya kwetu tu.
 
Back
Top Bottom