Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Kiufupi RC Mtaka ni mtu anayeamini katika kufurahisha watu washangilie kwa muda baadae kombe linafunikwa mwanaharamu anapita bila mabadiliko kutokea au kufanyika. RC ni mtu anayejijenga kupitia mitandao ya kijamii kwa lengo la umaarufu bali si utendaji.
Nashangazwa sana ni kwa namna gani amefanikiwa kutengeneza vijana wengi wa kumshangilia mitandaoni hata kwa maamuzi na kauli za kukurupuka.
Hivi kweli RC ni mtu wa kumjibu vile Waziri ambaye ndio mwenye sera ya kitaifa ya Elimu? Wazir anapozungumzia suala la elimu anazungumza kama mtu mwenye uzoefu wa kutosha kwenye kada hiyo na uwezo mkubwa wa kitaaluma lakini maamuzi na uwezo wake unabezwa na RC na mbunge kama Msukuma? Ifike mahali watu waheshimu taaluma za watu. RC anafikri kwa mtazamo wake wa makambi unaweza kuwa sera mbadala ya elimu?
Uwezo wa Prof.Ndalichako wa kitaalumu na uzoefu ni mkubwa sana kulinganisha na wa RC Mtaka, asitake sifa za kushangiliwa mitandaoni huku ukweli halisi ukijulikana.
Nashangazwa sana ni kwa namna gani amefanikiwa kutengeneza vijana wengi wa kumshangilia mitandaoni hata kwa maamuzi na kauli za kukurupuka.
Hivi kweli RC ni mtu wa kumjibu vile Waziri ambaye ndio mwenye sera ya kitaifa ya Elimu? Wazir anapozungumzia suala la elimu anazungumza kama mtu mwenye uzoefu wa kutosha kwenye kada hiyo na uwezo mkubwa wa kitaaluma lakini maamuzi na uwezo wake unabezwa na RC na mbunge kama Msukuma? Ifike mahali watu waheshimu taaluma za watu. RC anafikri kwa mtazamo wake wa makambi unaweza kuwa sera mbadala ya elimu?
Uwezo wa Prof.Ndalichako wa kitaalumu na uzoefu ni mkubwa sana kulinganisha na wa RC Mtaka, asitake sifa za kushangiliwa mitandaoni huku ukweli halisi ukijulikana.