RC Mtaka anaponzwa na sifa kutoka mitandaoni

Ndalichako bhana, nikikumbuka kile kingereza chake enzi za Jiwe nabaki mdomo wazi
 
Mtaka ni mshamba mshamba mmoja aliyejaza theory kichwani na kuishi maisha ya kusadikika, Theory watu wengi huku mitaani tunazijua sana kuziongeaongea.

Tujitahidi sana kuwa na watu wenye exposure kwenye mifumo, ambao wanajua mambo practically yanavyofanya kazi.

Uongozi unawafaa sana watoto wa mjini watu wa magumashigumashi kama MALIMA JNR, MAKAMBA JNR, RIZ JK, MSECHU NHC, FREEMAN MBOWE, LEMA, SUGU, PROP JAY na baba yao JK.

Kuwapa uongozi watu washambawashamba waliojaza theory za shule kichwani ni hatari sana.
 
Prof. si mtu wa kumlinganisha na RC kwenye kada ya elimu, msimponze huyo kijana mtampoteza. RC Mtaka anaponzwa na mitandao
Sasa Ndalichako ana credibility gani? Au umemsahau enzi za mwendazake?
 
Siku akimpinga rais wake ndio watajua kwamba mtaka ni takataka.
Hii comment nayo ni takataka!.Rais hayuko juu ya Sheria kama kuna mahali amekosea kumpinga sio kosa mkuu.Suala linakuja njia na utaratibu utakaoweza kuutumia kumpinga Rais
 
Hii comment nayo ni takataka!.Rais hayuko juu ya Sheria kama kuna mahali amekosea kumpinga sio kosa mkuu.Suala linakuja njia na utaratibu utakaoweza kuutumia kumpinga Rais
Nilikuwa naongelea mtaka mkuu wa mkoa.

Ungekuwa na ufahamu kiduchu ungejua kuwa mkuu wa mkoa hawezi kumpinga rais aliyempa huo ukuu wa mkoa na akabaki kuwa mkuu wa mkoa.

You either have to resign, or shut up. That simple.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…