RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

Sekta binafsi ni pana sana...angesema makabila yanayojihusisha na uuzaji bidhaa reja reja na jumla./ Kuuza maduka ya bidhaa.

Inakuwaje RC mzima anashindwa kufafanua? Alafu Wanyantuzu sio kabila Bali ni sehemu ya Wasukuma wa Bariadi. Wengi ni wakulima na wachungaji.
Wanyatunzu ni wafanyabiashara
 
Kwanza Wapemba si kabila.
Pia sioni mchango wao kiasi cha kusemwa wana mchango mkubwa kuinua uchumi. Sijasikia Mpemba mwenye kiwanda kikubwa hata mmoja. Au kampuni gani kubwa kitaifa ni ya Mpemba?
Safiri uwende Dubai,wachaga na wapemba,ndio wameshika nyanja za kibiashara kule.Ukiwa mgeni Dubai wanakupeleka sehemu za biashara na viwanda ni Wspemba na Wachaga.Kuna maeneo unakutana na wachaga na wapemba utafikiri uko Tanzania.
 
Huyo nae mjinga km wajinga wengine kutaja makabila ni ushamba na upumbavu uchumi wa tanzania unaendeshwa na watz wenye asili ya asia nyie ngozi ya laani ndio watumwa wa hao asian
Kwani watu hawana makabila? Acheni kukuza mambo maana mkisema hivyo badae mtasema kutaja mikoa inayo changia pato la taifa pia ni ukabila hebu acheni ushamba hizo ni takwimu tu.
 
Back
Top Bottom