RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

RC Mtaka ataja makabila 5 yanayokuza Uchumi wa Sekta Binafsi Tanzania

Alilenga kufikisha ujumbe gani?
Screenshot_20230724-205002.jpg
 
Tembea acha kudanfanywa,wapemba na wachaga wameshika biashara za Dubai,kuleta Afrika.
Ww ndio unadanganywa nitajie makampuni ya wapemba na wachanga au viwanda vyao tatizo nyie ni washamba mkiwa na kiduka tu basi kelele nyingi mbona wenye viwanda na makampuni makubwa hawapigi kelele!!
 
Wanyantuzu ni wakatili kwenye mambo ya hela yaani kuna kisa jamaa walikuwa kwenye machimbo basi jamaa kitu kikatema aisee wanyantuzu walifunika juu wakamziba jamaa hewa akafa
Wachoji wale,sema na wanaamini sana uchawi.
 
Mm sipo ktk kabila lolote la tz wala africa ila ukweli ni kua uchumi wa tz upo mikononi mwa asian nyie wachaga sjui wakinga ndio punda kwenye kampuni za hao asian labda mnakuza uchumi kwa kua ndio watumwa
Na Wahindi wameigawana hii nchi, wanakula kwa kutulia tuli.

Dar es Salaam = Wote.

Dodoma, Kanda ya Kati = Gulamali.

Singida = Mo Dewji.

Morogoro = Abood.


Tanga = Binslum.

Shinyanga = Jambo Group.


Wengine enedeleeni kuuza bar, kuchoma kitimoto, na kuuza maduka mkiamini mnakuza uchumi.

Pumbavu zenu
 
Makabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka

Wachaga
Wakinga
Wapemba
Waha
Wanyantuzu.

My Take
Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tu.
---

MAKABILA 5 MUHIMU ZAIDI UKUAJI SEKTA BINAFSI TANZANIA

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amesesma kuna jamii 5 muhimu zinazochangamsha ukuaji wa sekta binafsi, uchumi wa nchi na biashara kiujumla, huku akizitaja jamii hizo kuwa ni; Watu kutoka Kilimanjaro, Wakinga, Waha, Wapemba na Wanyantuzu.

RC Mtaka ameyazungumza hayo katika mahojiano maalum na Charles William kuhusu hali ya uwekezaji, biashara na kilimo katika mkoa wa Njombe.

Wasafi Media
Bro ishu sasa hiv ni bandari achana na propaganda za maccm. Huwez kutaja makabila 5 yenye kukuza uchumi ukasahau mhindi na mwarabu Mzee hizo ni sanaa za kututoa kwenye Mambo ya msingi.
 
huwezi lijua maana ha ta kusoma hujui na ina onyesha una kasilika kwa vitu visivyo kuwa na maana na wala haviwezi badili uhalisia wa maisha yako

Kama ulichoandika kipo sawa..kweli wewe na huyo mtaka sijui mataka mtakuwa kabila hilo la wajinga..japo sijawahi kulisikia ndo kwanza leo.
 
yani wewe haka kaujinga kana weza kuku toa kwenye mambo ya msingi?
 
Makabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka

Wachaga
Wakinga
Wapemba
Waha
Wanyantuzu.

My Take
Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tu.
---

MAKABILA 5 MUHIMU ZAIDI UKUAJI SEKTA BINAFSI TANZANIA

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amesesma kuna jamii 5 muhimu zinazochangamsha ukuaji wa sekta binafsi, uchumi wa nchi na biashara kiujumla, huku akizitaja jamii hizo kuwa ni; Watu kutoka Kilimanjaro, Wakinga, Waha, Wapemba na Wanyantuzu.

RC Mtaka ameyazungumza hayo katika mahojiano maalum na Charles William kuhusu hali ya uwekezaji, biashara na kilimo katika mkoa wa Njombe.

Wasafi Media
Na hata katika Ukuaji wa Uchawi, Dhuluma na Ufisadi Makabila tajwa yanafanya vyema.
 
Makabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka

Wachaga
Wakinga
Wapemba
Waha
Wanyantuzu.

My Take
Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tu.
---

MAKABILA 5 MUHIMU ZAIDI UKUAJI SEKTA BINAFSI TANZANIA

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Antony Mtaka amesesma kuna jamii 5 muhimu zinazochangamsha ukuaji wa sekta binafsi, uchumi wa nchi na biashara kiujumla, huku akizitaja jamii hizo kuwa ni; Watu kutoka Kilimanjaro, Wakinga, Waha, Wapemba na Wanyantuzu.

RC Mtaka ameyazungumza hayo katika mahojiano maalum na Charles William kuhusu hali ya uwekezaji, biashara na kilimo katika mkoa wa Njombe.

Wasafi Media
Halafu watu waksema Wazanzibar wanauza bandari, yeye na Chama Chake wanakuwa wa kwanza kulalamika kuwa watu wanaleta ubaguzi ili kutugawa.
Maana ya CCM siyo lazime iwe Chama Cha Maounga au Mapunguani, ila wao ndiyo wanaolazimisha kiwe na maana hiyo.
 
Back
Top Bottom