Azniv Protingas
JF-Expert Member
- Oct 29, 2020
- 335
- 554
Wapemba sio kabilaMakabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka
Wachaga
Wakinga
Wapemba
Waha
Wanyantuzu.
My Take
Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tuu.
Bila shaka hauko kwenye list [emoji23][emoji23]
Wakurya hawapaswi kukosekana hapo! Ila Wasukuma wanyantuzu nakubaliana nae!Makabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka
Wachaga
Wakinga
Wapemba
Waha
Wanyantuzu.
My Take
Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tuu.
Wewe utakuwa Mnyiramba bila shaka ππMjinga kabisa huyu bwana, anazungumza habari za ukabira karne ya 21,!? Huyu bwana anapenda sifa sana , enzi hizo akiwa rc simiyu alitutesa sana walimu, alijaribu kuupeleka ujinga wake dodoma wakampinga.
Wanyatunzu ni wafanyabiasharaSekta binafsi ni pana sana...angesema makabila yanayojihusisha na uuzaji bidhaa reja reja na jumla./ Kuuza maduka ya bidhaa.
Inakuwaje RC mzima anashindwa kufafanua? Alafu Wanyantuzu sio kabila Bali ni sehemu ya Wasukuma wa Bariadi. Wengi ni wakulima na wachungaji.
Inamaana ameanza ukabila huyu. Basi kama kweli yeye kasema Hilo basi hafai kwenye nafasi aliyonayo.Makabila ya Kiuchumi au ya kitajiri Kwa Mujibu wa Mtaka
Wachaga
Wakinga
Wapemba
Waha
Wanyantuzu.
My Take
Kama kabila lako halipo kwenye List jihesabu wewe ni Maskini tuu.
Ameongea ukweli ambao inauma na vile hauko kwenye list lazima uumie ππHuyo nae mjinga km wajinga wengine kutaja makabila ni ushamba na upumbavu uchumi wa tanzania unaendeshwa na watz wenye asili ya asia nyie ngozi ya laani ndio watumwa wa hao asian
Labda wanakuza kwa kua mashoga ni wengiKwanza Wapemba si kabila.
Pia sioni mchango wao kiasi cha kusemwa wana mchango mkubwa kuinua uchumi. Sijasikia Mpemba mwenye kiwanda kikubwa hata mmoja. Au kampuni gani kubwa kitaifa ni ya Mpemba?
Kiongozi anayezungumza ukabila hafai kuwa kiongozi...
Mm sipo ktk kabila lolote la tz wala africa ila ukweli ni kua uchumi wa tz upo mikononi mwa asian nyie wachaga sjui wakinga ndio punda kwenye kampuni za hao asian labda mnakuza uchumi kwa kua ndio watumwaAmeongea ukweli ambao inauma na vile hauko kwenye list lazima uumie [emoji16][emoji16]
Safiri uwende Dubai,wachaga na wapemba,ndio wameshika nyanja za kibiashara kule.Ukiwa mgeni Dubai wanakupeleka sehemu za biashara na viwanda ni Wspemba na Wachaga.Kuna maeneo unakutana na wachaga na wapemba utafikiri uko Tanzania.Kwanza Wapemba si kabila.
Pia sioni mchango wao kiasi cha kusemwa wana mchango mkubwa kuinua uchumi. Sijasikia Mpemba mwenye kiwanda kikubwa hata mmoja. Au kampuni gani kubwa kitaifa ni ya Mpemba?
Kwani watu hawana makabila? Acheni kukuza mambo maana mkisema hivyo badae mtasema kutaja mikoa inayo changia pato la taifa pia ni ukabila hebu acheni ushamba hizo ni takwimu tu.Huyo nae mjinga km wajinga wengine kutaja makabila ni ushamba na upumbavu uchumi wa tanzania unaendeshwa na watz wenye asili ya asia nyie ngozi ya laani ndio watumwa wa hao asian
Wanyantuzu ni wakatili kwenye mambo ya hela yaani kuna kisa jamaa walikuwa kwenye machimbo basi jamaa kitu kikatema aisee wanyantuzu walifunika juu wakamziba jamaa hewa akafaHivi kuna kabila la wanyatunzu??? Basi kama ni hivyo hata warombo, wamarangu nao ni kabila.
Safari uende Dubai,kule wapemba na wachaga,wamejazana kibiashara.Huyo nae mjinga km wajinga wengine kutaja makabila ni ushamba na upumbavu uchumi wa tanzania unaendeshwa na watz wenye asili ya asia nyie ngozi ya laani ndio watumwa wa hao asian
Takwimu yeye katoa km nani na nbs kazi yao nn?Kwani watu hawana makabila? Acheni kukuza mambo maana mkisema hivyo badae mtasema kutaja mikoa inayo changia pato la taifa pia ni ukabila hebu acheni ushamba hizo ni takwimu tu.