RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

Maswa ni Simiyu, Lohumbo ni kijiji tu siyo wiaya. Kwa hiyo hoja yako ni dhaifu sana
 
Hahaha bila shaka hii ni post ya hasira
 
Umetamka vizuri sana. Kwa waliowahi kukaa hayo maeneo watakubali kabisa kwamba kutokana na jiografia ya eneo husika Chato au Rubondo unastahili kuwa mkoa

Sent from Vivo V 19 using Jamiiforums
 
Kujenga University hapana kabisa. Tuboreshe vyuo vikuu vilivyopo
 
Duuh . . . Huu ni ukweli mchungu sana ila kulingana na mambo yalivyopangiliwa tangu mwanzo nahisi Chato itakuwa makao makuu ya mkoa husika
 
Hahahahaha . . .yaani nimechoka mpaka Basi. Eti chenga ya mwili tangu kitambo like serious ? Ni kweli Biharamulo imekuwa nyuma sana kuliko hata Chato. Nilishangaa sana ile siku nilipofika Biharamulo. Yaani wilaya ya zamani ila miundombinu Sasa daaah
 
Mkuu mimi naongea kitu ambacho kipo mpaka sasa hivi watu wamesafiri kwenda Bukoba, sasa wewe unaleta imagination hebu tuwahurumie nao ni watanzania wenzetu
 

Na mimi nilikuwa nimeshangaa km 400 [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Badala ya kuchukua wilaya ya ngara bora wachukue muleba ndio iende chato, pia mkoa wa Geita utakuwa na Kabila moja washubi hii sio nzuri kwa umoja wa kitaifa
 
Kuna watu watakuwa bado wanasumbiliwa na umagufuli.
 
PhD yake haikuwa na utata, alipewa na Dr. Akwilapo, School mate wake wakiwa Mkwawa (Single combi ya CM) ambaye alizawadiwa Ukatibu Mkuu wa Wizara ya Elimu ya Taifa
Ila marehemu nilichompendea wale wote waliomtendea mema alikuwa anawapa vyeo ila waliomtukana kama kina Manji aliwabatiza kwa ubatizo wa moto tena wa makaa ya mawe
 
Geita kuna washubi?
Badala ya kuchukua wilaya ya ngara bora wachukue muleba ndio iende chato, pia mkoa wa Geita utakuwa na Kabila moja washubi hii sio nzuri kwa umoja wa kitaifa
 
Maswa ni Simiyu, Lohumbo ni kijiji tu siyo wiaya. Kwa hiyo hoja yako ni dhaifu sana
Maswa inaweza kurudishwa mkoa wa Shinyanga na tarafa ya Lohumbo inaweza kufanya wilaya mpya kama ilivyofanywa tarafa ya Ushetu kuwa wilaya. Yote haya yanawekana. Iacheni Kahama ijinafasi.
 
Badala ya kuchukua wilaya ya ngara bora wachukue muleba ndio iende chato, pia mkoa wa Geita utakuwa na Kabila moja washubi hii sio nzuri kwa umoja wa kitaifa
Bila shaka hujawahi fika kagera kabisa.

Hiv unajua jiografia ya muleba na ngara?



Hebu kasome vzr ramani vzr halafu uje kucomment tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…