Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutawapeleka Dodoma watakuwa hata hawapokwenye hatari ya kugongwa na magari. Na wafanya maamuzi wengi wapo huko, hivyo wanaweza kuona kwa haraka njia bora ya kuwawezesha.Itakuwaje kama hawa omba omba ni wazawa wa dsm?
Jamaa watu wa ajabu Sana hao ....Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu...
Hivi mnategea kipya kwa viongozi wa aina hii? Huyo aliyeondolewa alikuwa bora mara mia. Huyu ni hizi hizi sampuli za kufanya kazi za matukio na matamko. Kama Makonda.Ngoja tuone kama atafanikiwa, asijekuwa kama makonda kwa kuanzisha vitu na mwisho anashindwa
Kaka huo ni moto wa kifuu tu maana kazi ya kuwatimua ombaomba haikuanza leo.Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameagiza viongozi wa Wilaya zote pamoja na Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam kuwakusanya na kuwasomba omba omba wote na kuwarejesha makwao
View attachment 1799523
Hivi kwa njaa ilivyojaa DSM wakiomba wanapewa kweli ?Hao jamaa huwa wanapelekwa kwao na kurudi, nauli wanazo, itafutwe njia itakayowafanya watulie wakifika kwao, kama ni kutunga sheria or whatever I don't know.
Bado hajazaliwa kiongozi wa kuwaondoa ombaomba na machinga hapa darKazi imeanza,,baada ya hapo machinga mjiandae.
Kila mtu ambaye ni ombaomba asimame kwenye nyumba ya kwao ahesabiwe ajulikaneItakuwaje kama hawa omba omba ni wazawa wa dsm?
Hatoweza leo au keshoNgoja tuone kama atafanikiwa, asijekuwa kama makonda kwa kuanzisha vitu na mwisho anashindwa
Siunajua ukiamua kufanya kazi yoyote hapa duniani, kuna kupata na kukosaHivi kwa njaa ilivyojaa DSM wakiomba wanapewa kweli ?
Si ndio definition ya Mnyonge mliokuwa mkiikatia viuno wakati wa Utawala wa Mwendazake nini kimewakuta mpaka mumepiga u turn?Wengi wao wana nguvu, hawafanyi kazi na wanazidi kuzaliana
Warudi makwao
🤣Shida ya hao watu unamsafirisha mfano kutoka dar kwenda kigoma maajabu ukija kurudi dar unakuta yeye ashafika mda mrefu,