Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh kwahiyo na wewe Ni matonya?!Yaani mturudishe bila chochote kitu?
Hakika......Marehemu alikataza kuombaomba alisemaga asiyefanya kazi asile
Ila aliheshimu wapambanaji halali
Mkuuu na umri wako wote hujajua umuhimu wa katiba ?Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.
...
Km Ni mzima akalime na km Ni mlemavu basi huenda wanawezs kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujikimuMtu anayeomba ili apate pesa ya kula akirudi kijijini atakua na mipango gani? Kuomba?
Depression and death
Mbona jk sio mkali na alikuwa poa tuHivi mimi huwa najiuliza kwani mtu ukiwa mpole huna sifa ya uongozi? Kuna kahusiano gani kati ya ukali na utawala..? Sio tu kwa rc! Namaanisha hata ngazi nyingine za uongozi na hta maisha ya uraini.
Wanarudi Dodoma au sio....
Kwahiyo ombaomba wote wanatokea dodoma?!Kwa sasa warudi kwao idodomya, nyumbani kumenoga...
Umewahi kulima?Km Ni mzima akalime na km Ni mlemavu basi huenda wanawezs kuwatengenezea mazingira mazuri ya kujikimu
Kwahiyo hao omba omba mnaotaka kuwatoa sasahivi walikuwa ni wapambanaji halali wakati wa utawala wa marehemu?Marehemu alikataza kuombaomba alisemaga asiyefanya kazi asile
Ila aliheshimu wapambanaji halali
Wengi....Kwahiyo ombaomba wote wanatokea dodoma?!
Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam imesema ipo tayari kutoa usafiri kwa ombaomba wanaotaka kurudi kwao kwa hiari ifikapo mwezi wa sita mwaka huu. Huku akiwataka Wakuu wa wilaya kuratibu zoezi hilo ikiwamo pamoja na kuwachukulia hatua za kisheria mawakala wanao waleta kutoka mikoani.
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Amos Makala amewataka ombaomba wote walipo Dar Es Salaam kujiandikisha kwa hiari majina yao pamoja vijiji wanavyo toka ili ofisi yake iweze kuwarudisha nyumbani na kuwaepusha na vitendo vya ukatili wa kijinsia ifikapo mwezi wa sita mwaka huu ofisi yake iweze kuwapa usafiri wa kuwafikisha makwao suala ambalo ameleza limewapa usumbufu wakuu wa mikoa waliopita akiwemo Mzee Yusufu Makamba.
Aidha Mhe. Makala ameongezea kuwa suala la ombaomba limekuwa mradi kwa mawakala ambao uwasaidia ombaomba hao kuwasafirisha kutoka makwao na kuwapagishia vyumba pamoja na kuwapa chakula na kuwataka walelete pesa wanazoomba kila siku.
Katika hatua nyingene Mkuu wamkoa amewataka wananchi kujitokeza kwa wingi kwenye madhimisho ya siku ya kujenga uwelewa juu ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa mgeni rasmi.
ITV
Kwa jamii yote ya kiafrica hasa Tanzania ukiwa mpole sana mambo hayaendi.Hivi mimi huwa najiuliza kwani mtu ukiwa mpole huna sifa ya uongozi? Kuna kahusiano gani kati ya ukali na utawala..? Sio tu kwa rc! Namaanisha hata ngazi nyingine za uongozi na hta maisha ya uraini.
Naona umepata lift ya bure kwenda na kurudi mkoani, 😀😀Heheheh mtupokee tu ndugu zetu Tanzania sote ni ndugu😅😅😅
Hata mimi ndo nashangaa....Kwahiyo ombaomba wote wanatokea dodoma?!