RC wa Dar es Salaam kutoa usafiri kwa Ombaomba wanaotaka kurudi makwao mwezi wa 6

RC wa Dar es Salaam kutoa usafiri kwa Ombaomba wanaotaka kurudi makwao mwezi wa 6

Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.

Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?

Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Nchi nyingi za AFRIKA zimegubikwa na machafuko kwa sababu ya AINA YA WANASIASA HAO....

Kwao wamekariri kuwa DEMOKRASIA ni zaidi ya PUMZI....

Ujinga mtupu.....
 
Jamaa watu wa ajabu Sana hao ....

Baadhi ya nchi za AFRIKA zimegubikwa na machafuko na chanzo huwa ni WANASIASA......
Ukiona sehemu kuna machafuko ujue haki za watu zimechezewa, hakuna nchi yenye haki ukakuta ina vurugu hta siku moja.
 
Huko Makwao waende kuomba au wanapewa shamba walime ?
 
Tatizo kuu na msingi kwa sasa jijini dar es laam ni suala la wamachinga huko kwingine ni kutafuta kiki tu!
 
Ombaomba sio wamachinga
Tuliza mzuka
Sijaongelea Machinga nimeongelea "Wanyonge" mliokuwa mkituaminisha kuwa Magufuli yuko pamoja nao

sass2.png
 
Hawa ombaomba ni matajiri sana maana wanauhakika kulaza 50 elf mpaka elf 80.....kwa kipato wanawazidi hadi watumishi wa umma....ila ni ngumu sana kuwaondoa mjini
 
Back
Top Bottom