Atleast njaa ya Dsm kuliko ya mikoani.Hivi kwa njaa ilivyojaa DSM wakiomba wanapewa kweli ?
Nchi nyingi za AFRIKA zimegubikwa na machafuko kwa sababu ya AINA YA WANASIASA HAO....Siyo majambazi, mafisadi na wachezea mifumo ya serikali tu wanaomjaribu rais Samia hata Chadema wanamjaribu.
Leo wametangaza maandamano ya kudai katiba mpya na tume huru yani wanataka rais aache kufocus na kukamilisha SGR ,Bwawa la nyerere ,ajira, viwanda ambavyo ndiyo hitaji la wananchi akaanze kutenga mabilioni ya fedha kwa ajili ya katiba ambayo ni hitaji la wanasiasa tu?
Mbaya zaidi wanataka mchakato wa katiba uanze upyaaaaa na siyo pale ulipoishia zamani
Si ndio definition ya Mnyonge mliokuwa mkiikatia viuno wakati wa Utawala wa Mwendazake nini kimewakuta mpaka mumepiga u turn?
View attachment 1799558
Ukiona sehemu kuna machafuko ujue haki za watu zimechezewa, hakuna nchi yenye haki ukakuta ina vurugu hta siku moja.Jamaa watu wa ajabu Sana hao ....
Baadhi ya nchi za AFRIKA zimegubikwa na machafuko na chanzo huwa ni WANASIASA......
Masikini huwa hafukuzwi bali anasaidiwa kutatua shidaMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla ameagiza viongozi wa Wilaya zote pamoja na Halmashauri zote za Mkoa wa Dar es Salaam kuwakusanya na kuwasomba omba omba wote na kuwarejesha makwao
View attachment 1799523
Heheheh mtupokee tu ndugu zetu Tanzania sote ni nduguπ π πKwa hiyo watu WA dar mmechoka kuombwaombwa..... huku mnakotaka kuwaleta ndo hatuna hela kabisa.....
kongwakuwakusanya na kuwasomba omba omba wote na kuwarejesha makwao
Sijaongelea Machinga nimeongelea "Wanyonge" mliokuwa mkituaminisha kuwa Magufuli yuko pamoja naoOmbaomba sio wamachinga
Tuliza mzuka
Sijaongelea Machinga nimeongelea "Wanyonge" mliokuwa mkituaminisha kuwa Magufuli yuko pamoja nao
View attachment 1799573
πππSijaongelea Machinga nimeongelea "Wanyonge" mliokuwa mkituaminisha kuwa Magufuli yuko pamoja nao
View attachment 1799573
nigaie na mi kidogo,undugu sio kufanana ni kufaanaJamani uongo mbaya tokea Mama atie timu nimeanza kuzishika na nimefungua akaunti mpya.
Ndio nimeanza kuzishika ngoja zijaejaenigaie na mi kidogo,undugu sio kufanana ni kufaana
inshallah mungu akujazie pasipo kukupimia!!ameenNdio nimeanza kuzishika ngoja zijaejae
View attachment 1799584