Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,352
- 2,160
Mbaya zaidi kakutana na miwa akiwa kashachoka na yeyealibebwa sana na timu, kucheza na Kroos na Modric kwenye peak zao ilimsaidia sana, ila sasa Man Utd kenda kukutana miwa ya haja, kwahiyo alilazimika kufanya kazi ya ziada ambayo nayo ilimfelisha kwa kujiachia, kwa kweli amekuwa mzito sana. atafute connection za kwenda Saudi tu ndio suluhisho.
Na ni sehemu muhimu na ambayo imekuwa ni utamaduni wa Real Madrid kusheherekea ubingwa sehemu hiyo.Wenzetu kwa kutunza kumbukumbu wapo vizuri, hapo Cibeles, pamejengwa Mwaka 1782, na mpka leo pako vile vile, sana sana jamaa wanaendelea kupatunza tu na kurekebisha tu, licht ya Mji kupitia mabadiliko makubwa, sikuwahi kusikia kama jamaa wanapango wa kupavunja.
hizi habari barca fans hawataki hatakuzisikia na yamine yamal waoArda Guler anatutanguliza hapa., Kijana amaimrika kadri anavyopewa muda wa kucheza.,
HIi game ya leo dhidi ya Nyambizi hapa inayoendelea kwa kwel Lunin aanzie bench siku ya Fainal...Hata sio siasa man, Carlo hawezi kum-risk mtu aliyekaa bench karibia msimu mzima, anahitaji muda ili arudi katika hali yake, angalia hata Militão makosa anayoyafanya., ndio maana hata mwenyewe ameamua asicheze game za Euro ili apate muda mzuri wa kuendelea na program yake, ili msimu ukianza awe fit.
Lunin ni kweli anafungwa magoli yanayofanana, na yeye anahitaji uzoefu, ni golikipa mzuri, anahitaji zaidi kujiongeza namna ya kusoma mchezo basi.
Militão ameshindwa kum-mark jamaa, muda wote amempoteza, sasa hapo sijui unaanza vipi kumlaumu Lunin, muda wote jamaa anakuwa peke yake anachagua angle ya kupeleka mpira.Ugonjwa ule ule wa mchezaji mmoja kututesa katika game moja ndio unaofanyika hapa...jamaa katupiga nne hapa peke yake hadi sa hvi,Miltao kateseka sana leo hapa..