Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,502
- 6,049
Tafuta dawa za kupunguza maumivu Mkuu zitakusaidia.I really hate real Madrid from the deepest, innermost,profoundly hidden, and furthest-reaching bottom part of my heart."
Mpira wake wa kawaida sanaHuyu dogo daah,toka apate majeraha hamna kipya anachoonesha uwanjani aise
Movement ya hatari hana hata mojadah jamaa anatia aibu, subiri aje apate tapin halafu uone habari yake
Ukicheza na Madrid hakikisha kila nafasi unayopata funga , na ongeza umakini kuanzia DK ya 70 mpak mwisho 😁😁😁🔥🔥Hii timu ilishazindika mizimu ya u free mason.
SIWAPENDI
Nenda uingereza kaishaur na liverkuku wazindike mizimu na nyie mue na UCL 15..[emoji706]Hii timu ilishazindika mizimu ya u free mason.
SIWAPENDI
Na sie tulikuwa tunawavizia kuanzia dakika ya 70, acha watu walalamike kuwa Real Madrid haijulikani inashindaje., yaani Carvajal ni wa kufunga kwa kichwa tena mpira wa kona kweli?Ukicheza na Madrid hakikisha kila nafasi unayopata funga , na ongeza umakini kuanzia DK ya 70 mpak mwisho 😁😁😁🔥🔥
Waje tu tutawapatiaFanyeni mchakato muwape hata 1 Arsenal
I really hate real Madrid from the deepest, innermost,profoundly hidden, and furthest-reaching bottom part of my heart."