Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ukicheza na Madrid hakikisha kila nafasi unayopata funga , na ongeza umakini kuanzia DK ya 70 mpak mwisho 😁😁😁🔥🔥
Na sie tulikuwa tunawavizia kuanzia dakika ya 70, acha watu walalamike kuwa Real Madrid haijulikani inashindaje., yaani Carvajal ni wa kufunga kwa kichwa tena mpira wa kona kweli?
 
Back
Top Bottom