Malaika wa Waha
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 319
- 885
Ahaaa, sasa bampa to bampa ndo 3-1Af Milan sio wachovu kama Barcelona.
Ilikua bampa to bampaa
Uchovu na kufanikiwa ni vitu viwili tofauti mkuu.Ahaaa, sasa bampa to bampa ndo 3-1
Afu wachovu ndo 4-0?
Mbn sijaelewa
Una maanisha nini kusema Juhudi ya kazi?Uchovu na kufanikiwa ni vitu viwili tofauti mkuu..
Leo hii Siamini kama mo ana juhudi ya kazi kunishinda mimi.
Ila nani kafanikiwa Kati ya mimi na yeye?
Kwani kazi inahitaji nini?Una maanisha nini kusema Juhudi ya kazi?
Kwa kutumia manguvu au akili?
Jibu swali kwanza kisha ndio uulize swali lako,Kwani kazi inahitaji nini?
Huyo dogo alikuwa anajiona star kipindi anacheza na kina Messi,Neymar akawa anawadharau bila kujua kwamba uwepo wa hiyo miamba miwili pale PSG ndio ilikuwa inamfanya aonekane.Mbappe bora angebaki zake tu Farmers ligi huko Paris huku kaja kujichoresha tu.
Uzeni Finishius Jr, uza mbappe, uza garasa Rodrigo, uza bellingham. Hamna timu kenge nyie, Karibuni Anfield.
Mi nachojua barcelona ndo walotoa bikra, wengine wanakuta shimo tu saiv breki pvmbu, ni kutindua tu.😀Uchovu na kufanikiwa ni vitu viwili tofauti mkuu.
Leo hii tajiri no moja tz ni mo. Ila Siamini kama mo ana juhudi ya kazi kunishinda sisi wote.
Mbappe kaifanyia PSG mambo makubwa na ana rekodi nyingi kabla hata huyo Neymar na Messi hawajafika Psg,Huyo dogo alikuwa anajiona star kipindi anacheza na kina Messi,Neymar akawa anawadharau bila kujua kwamba uwepo wa hiyo miamba miwili pale PSG ndio ilikuwa inamfanya aonekane.
Kumbe napoteza muda byeMi nachojua barcelona ndo walotoa bikra, wengine wanakuta shimo tu saiv breki pvmbu, ni kutindua tu.😀
Sikuzote unapoteleza kwenye maku, mshukuru alokutolea bikra😛
Kwamba mo ndio anaongoza kwa kufanya kazi?Jibu swali kwanza kisha ndio uulize swali lako,
Ni juhudi ipi hiyo unayomzidi Mo?
Mbona utetezi wako umekua mrefu sana,tena unauleta kwa njia ya maswali?Kwamba mo ndio anaongoza kwa kufanya kazi?
Au mo ana akili nyingi na nguvu nyingi kuzidi wengine wote Tanzania?
Kufanikiwa ni kuongoza kwa juhudi kuliko wengine sio?
Basi kama unaamini hivyo tuishie hapa haina haja kubishana.
Kama umeshindwa kuona majibu ndani ya hayo maswali haina haja ya kuendelea kukomaa na kitu kisicho na faida kwetu.Mbona utetezi wako umekua mrefu sana,tena unauleta kwa njia ya maswali?
Ungejibu tu nilichokuuliza wala usingejipa hizo pressure za bure.
Jamiiforums is an open forums,ukisha andika jambo humu,kila mtu anayo haki ya kuchangia,kama unaona mtu kukuuliza kwa ulichokiandika hapa ni kufuatiliwa,basi toka humu hapakufai,Kama umeshindwa kuona kuina majibu ndani ya hayo maswali haina haja ya kuendelea kukomaa na kitu kisicho na faida kwetu.
As long as ushajua mi na wewe hatuwezi kelewana so haina haja ya kufatiliana mzee