Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hamna timu nyie nawachukia sana. Wakitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia.
 
Nyie umber pesa za kuhonga marefa mmjengea uwanja 🤣🤣🤣

Mnatapigwa kile kibabu perez kitakufa kwa sukar

Nyau nyie
 
Nyie ubwa pesa za kuhonga marefa mmjengea uwanja 🤣🤣🤣🤣

***** mtashukaaa daraja🤣

Madrid mwembe wa uwan🤣
 
Bellingham amempidha Arda Güler, ni matumaini yangu ni mabadiliko ya kawaida tu na sio majeraha, kwasababu kiukweli majeruhi yametuandama kweli kweli.,
 
Ceballos ana pass fulani kali sana, ni vile tu Ancelloti alikuwa hamuelewi, ila kwasasa sio mbaya, ana confidence na anacheza vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…