IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,362
- 6,274
Sio kwa ubaya tukumbushe bingwa wa uefa 2024/2025 ni team ipi,utawasaidia wasiojua footballTimu la kuunga unga tu eti uchukue uefa forwad brahimi 😂😂😂😂😂
Amekusikia MkuuHuyu Mbappe maninaaaa....anatucost sana sana.
Afadhali Bellingham ameipiga ile penalty, ni mpigaji mzuri sana, sio mbaya akapewa hilo jukumu mazima.
Hahaha, jamaa amekosa licha ya kuwa alishampiga Golikipa chenga., inatokea lakini., kazi ipoMbappe tena