Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tatizo ni vigumu sana yaani Suarez,Neymar na Messi - hii safu ya mbele ni danger sana
Vigumu ndio nini? frame of reference? that circular thing,with equidistant to its center,can touch the millimeters of inside nets,and you're out.
180 minutes will decide.
 
Walipigwa bao tatu Bernabeu na wote hao walikuwepo.
Wanaojua mpira,wanasema hii strike force haijawahi tokea katika historia ya football na on current form ukiondoa Bayern,Barca ana mpinzani. Bayern ni timu pekee duniani isiyotabirika. Madrid kwa bahati mbaya mwaka huu inajikongoja
 
Vigumu ndio nini? frame of reference? that circular thing,with equidistant to its center,can touch the millimeters of inside nets,and you're out.
180 minutes will decide.
Wapenzi wa Madrid wanaomba Bale aendelee kuwa mgonjwa maana hawaoni tija yake katika timu
 
Wanaojua mpira,wanasema hii strike force haijawahi tokea katika historia ya football na on current form ukiondoa Bayern,Barca ana mpinzani. Bayern ni timu pekee duniani isiyotabirika. Madrid kwa bahati mbaya mwaka huu inajikongoja
Majuzi Sevilla waliwakosakosa na hiyo team yenu ya milenia,
 
Wanaojua mpira,wanasema hii strike force haijawahi tokea katika historia ya football na on current form ukiondoa Bayern,Barca ana mpinzani. Bayern ni timu pekee duniani isiyotabirika. Madrid kwa bahati mbaya mwaka huu inajikongoja

You're not serious, are you? Real Madrid inajikongoja? They have 2 points difference with la liga leader na sasa wanacheza UCL semi-final, kujikongoja gani huko? Au bahati mbaya ipi unaongea?...By the way hao unaowaita wewe wananaojua mpira are just Real Madrid haters kama wewe. Yeyote atakeyeshinda mechi yenu tuonane Berlin mwezi june.
 
Relax brother, acha waseme wanachotaka. Sometimes hizi mambo unapotezea, watu wanapunguza machungu ya timu zao kwa kutufanya tuwajali.
 
Relax brother, acha waseme wanachotaka. Sometimes hizi mambo unapotezea, watu wanapunguza machungu ya timu zao kwa kutufanya tuwajali.

Sawa sawa, tena nimegundua wengi wao ni wale timu zao ziko out of league.
 

Real Madrid continue preparations ahead of Celta game


at Ciudad Real Madrid (Valdebebas)

The Whites completed their second to last training session ahead of their visit to Balaídos.


Real Madrid continue to fine tune ahead of their game with Celta. The Whites completed their penultimate training session before their trip to Balaídos next Sunday (9pm CEST). Carlo Ancelotti had Javi Muñoz and Odegaard out training in a session that mainly involved ball work.

The players began with an intensive warm up, before doing exercises involving passing and dribbling, crossing and shots and a little game with small size nets. Sergio Ramos trained at the indoor facilities while Bale, Modric and Benzema continue to recover.










 
Real Madrid ndio the greatest Club ever, wazee tukirushiwa mawe wala msi-panick, hiyo ndio gharama ya kuwa Madridista.
 
Pep Guardiola leo kasema"Barca are the best team at the moment"Uzuri wa Barca hawatoki jasho,baada ya mechi huvaa suti na kuondoka bila kuoga sababu hakuna haja. Ukitoka jasho unapigwa fine na coach-Suarez keshapigwa fine mara 3,ameambiwa mpira ni starehe,a relax sio kutoka jasho
 

Bayern have won on three of their four visits to Barcelona #UCLdraw ...Bonyeza hapa: uefa.to/1EyGcLc
 
Cristiano Ronaldo wants new deals for Sergio Ramos and Carlo Ancelotti. [MARCA]
 
Walipigwa bao tatu Bernabeu na wote hao walikuwepo.

-Vipi kuhusu Camp Nou, vipi kuhusu PSG na Game zingine.
-Kipindi kile Suarez hakuwa na uzoefu hata kidogo kucheza na Neymar na Messi, na hata sasa bado hajawazoea vema. Subir Next Season uone balaa lake ya hii Combination.
 
Wanaojua mpira,wanasema hii strike force haijawahi tokea katika historia ya football na on current form ukiondoa Bayern,Barca hana mpinzani. Bayern ni timu pekee duniani isiyotabirika. Madrid kwa bahati mbaya mwaka huu inajikongoja

Wape Ukweli mkuu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…