Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

I hope lesson learned, we started the season confortably lakini tumeshindwa kuendelea kushinda kwasababu hakuna wachezaji wa kuchukua nafasi za majeruhi. Next season rotation ni muhimu sana, na hii haiwezi kufanyika kama tukiwa na bench la magalasa vile. Tunahitaji kumarisha timu kuanzia chini mpaka juu.
Actually tulianza ovyo, pre-season yenyewe hatukushinda game hata moja. Tulikutana na kina United, Inter pamoja na Roma wakatuburuza pamoja na draw, tukaingia kwenye ligi, game ya 3 nadhani tukakutana na La Real wakatupa 4 - 2, tena tulianza kufunga hizo goli 2 na full kugonga posts.

Baada ya hapo ni kama tuka-settle, na bahati nzuri tulikuwa tunakutana na wapinzani wa kawaida tukapiga m'pira sana, barca wenyewe waliomba game iishe SB. Mpaka hater wetu m'kuu Cruyff alitukubali kipindi hicho.

Baada ya CWC tukaenda kupiga hela Dubai vs Milan, tukapigwa 4, tukasema ni friendly tu. Toni akaanza kulalamika ametumika kupita maelezo, Carlo anajifanya hasikii. Hapo ndio tulipoteza balance na rhythm.

Tukakutana na Valencia 2015 wakamaliza A22 yetu, na toka hapo hatukucheza m'pira wowote zaidi ya El Clasico ambayo nako haikusaidia. Kikubwa mi nacholia nacho ni kutojifunza kutokana na makosa, huo mtiririko wote ni makosa yaliyojorudia ambayo yangeweza kusahihishwa mapema na tusingeishia hapa.
 
Actually tulianza ovyo, pre-season yenyewe hatukushinda game hata moja. Tulikutana na kina United, Inter pamoja na Roma wakatuburuza pamoja na draw, tukaingia kwenye ligi, game ya 3 nadhani tukakutana na La Real wakatupa 4 - 2, tena tulianza kufunga hizo goli 2 na full kugonga posts.

Baada ya hapo ni kama tuka-settle, na bahati nzuri tulikuwa tunakutana na wapinzani wa kawaida tukapiga m'pira sana, barca wenyewe waliomba game iishe SB. Mpaka hater wetu m'kuu Cruyff alitukubali kipindi hicho.

Baada ya CWC tukaenda kupiga hela Dubai vs Milan, tukapigwa 4, tukasema ni friendly tu. Toni akaanza kulalamika ametumika kupita maelezo, Carlo anajifanya hasikii. Hapo ndio tulipoteza balance na rhythm.

Tukakutana na Valencia 2015 wakamaliza A22 yetu, na toka hapo hatukucheza m'pira wowote zaidi ya El Clasico ambayo nako haikusaidia. Kikubwa mi nacholia nacho ni kutojifunza kutokana na makosa, huo mtiririko wote ni makosa yaliyojorudia ambayo yangeweza kusahihishwa mapema na tusingeishia hapa.

Kuna jamaa kafanya analyse ya Carlo jinsi alivyomuona yeye msimu huu, ngoja ni paste hapa chini.
 


So Let's Have A Look At Carlo Ancelotti's Performance This Season.

Carlo has definitely converted individuals into a team and created a friendly environment in the dressing room,He is also very supportive towards his players.

Real Madrid was in the hunt of 2 trophies till the very last moments,BUT i have some serious concerns on his ability to defeat good teams or the teams who have a good record at their home...

---We couldn't defeat Atletico once in the first 7 encounters of this season,due to which we lost the race of 2
trophies (Spanish Super Cup & CDR)
-----We defeated Barca once in 2 encounters,
-----We couldn't manage a single win against Valencia in 2 matches
---- We could not defeat Athletic Bilbao & Real Sociedad away although they weren't really good this season.
---- We lost to Juventus away and couldn't defeat them at the Bernabeu either.


FACT:
WE WON JUST ONE GAME AGAINST LA LIGA'S CURRENT TOP 4 (Against Barca),So TBH WE DIDN'T DESERVE TO WIN THE LEAGUE AT ALL.


Carlo's Rotation Policy Has Been Heavily Criticised By All The Football Experts,Lucas Silva Hardly Got Playing Time Even Against Small Teams And Thus We Were Forced To Play Ramos As A CDM In The Last Part Of The Season.If Lucas Silva Wasn't Real Madrid Class Player Then Why Did We Even Buy Him? Our Last Year's La Liga Campaign Was Struck By The Injuries Too But Ancelotti Didn't Learn From It.And It's the Same Story This Year.


I am not blaming Ancelotti,I am just talking about the facts,he is the one who won us La Decima but I could not help but notice the similarity in his tactics against all the oppositions,and that's the reason why Real Madrid seems to have lost it's cutting edge against teams with good coaches Carlo Ancelotti is a good coach but he is not a very good tactician in my opinion.Carlo has killed the lethal counter attacks of Real Madrid and that's the basic reason of Bale's downfall apart from the heavy criticism from Spanish media because Bale is a player who heavily relies on his pace and we had bought him to have two rockets on our wings,not to make him play the modern version of tiki taka.


Last Year Ramos Saved Us Or Our Last Season's Campaign Could Have Had A Disastrous Ending Too Just Like This One.


Wether Ancelotti Stays Or Not, Hope Whatever Happens,Happens For The Betterment Of Real Madrid.


‪#‎
HALAMADRID‬
‪#‎WeWillRiseAgain‬



11222298_1002055193152574_1580776846611501720_n.jpg
 


So Let's Have A Look At Carlo Ancelotti's Performance This Season.

Carlo has definitely converted individuals into a team and created a friendly environment in the dressing room,He is also very supportive towards his players.

Real Madrid was in the hunt of 2 trophies till the very last moments,BUT i have some serious concerns on his ability to defeat good teams or the teams who have a good record at their home...

---We couldn't defeat Atletico once in the first 7 encounters of this season,due to which we lost the race of 2
trophies (Spanish Super Cup & CDR)
-----We defeated Barca once in 2 encounters,
-----We couldn't manage a single win against Valencia in 2 matches
---- We could not defeat Athletic Bilbao & Real Sociedad away although they weren't really good this season.
---- We lost to Juventus away and couldn't defeat them at the Bernabeu either.


FACT:
WE WON JUST ONE GAME AGAINST LA LIGA'S CURRENT TOP 4 (Against Barca),So TBH WE DIDN'T DESERVE TO WIN THE LEAGUE AT ALL.


Carlo's Rotation Policy Has Been Heavily Criticised By All The Football Experts,Lucas Silva Hardly Got Playing Time Even Against Small Teams And Thus We Were Forced To Play Ramos As A CDM In The Last Part Of The Season.If Lucas Silva Wasn't Real Madrid Class Player Then Why Did We Even Buy Him? Our Last Year's La Liga Campaign Was Struck By The Injuries Too But Ancelotti Didn't Learn From It.And It's the Same Story This Year.


I am not blaming Ancelotti,I am just talking about the facts,he is the one who won us La Decima but I could not help but notice the similarity in his tactics against all the oppositions,and that's the reason why Real Madrid seems to have lost it's cutting edge against teams with good coaches Carlo Ancelotti is a good coach but he is not a very good tactician in my opinion.Carlo has killed the lethal counter attacks of Real Madrid and that's the basic reason of Bale's downfall apart from the heavy criticism from Spanish media because Bale is a player who heavily relies on his pace and we had bought him to have two rockets on our wings,not to make him play the modern version of tiki taka.


Last Year Ramos Saved Us Or Our Last Season's Campaign Could Have Had A Disastrous Ending Too Just Like This One.


Wether Ancelotti Stays Or Not, Hope Whatever Happens,Happens For The Betterment Of Real Madrid.


‪#‎
HALAMADRID‬
‪#‎WeWillRiseAgain‬



11222298_1002055193152574_1580776846611501720_n.jpg

100% right. Haya mambo from time to time wenyewe tumeyajadili humu ndani, basically niliisema hii kitu kabla ya game yetu na Juve kuanza.

Ila kuna kitu mi napinga kidogo, Ancelotti might have got us to the CDR and CL finals last year, but he didn't win us those finals, individual brilliances of Bale and Ramos did + luck. CDR vs barca kama sio riadha na ukakamavu wa Bale tusingebeba, na bahati ilitusaidia pale mpaka Iker akaenda kuishukuru post baada ya kum-deny Neymar an equalizer.

CL tulikosa mbinu za kuwafunga Atleti kabisa, wakachoka dakika za majeruhi, concentration ikapungua Ramos aka-rise, the rest is history.

La Liga tulipewa with 3/4 games remaining, all we needed to do was win all our games. Celta wakatupiga kimoja, ikabaki tuki-win zilizobaki then matokeo ya mwisho Barca vs Atleti yangetu-favor, wakaja Valencia Bernabeu tukaotea draw draw kama juzi, 2-2. Yote makosa ya kiufundi.

Carlo aende tu, he has failed, na at RM ukifeli unaenda, haina mjadala.
 
100% right. Haya mambo from time to time wenyewe tumeyajadili humu ndani, basically niliisema hii kitu kabla ya game yetu na Juve kuanza.

Ila kuna kitu mi napinga kidogo, Ancelotti might have got us to the CDR and CL finals last year, but he didn't win us those finals, individual brilliances of Bale and Ramos did + luck. CDR vs barca kama sio riadha na ukakamavu wa Bale tusingebeba, na bahati ilitusaidia pale mpaka Iker akaenda kuishukuru post baada ya kum-deny Neymar an equalizer.

CL tulikosa mbinu za kuwafunga Atleti kabisa, wakachoka dakika za majeruhi, concentration ikapungua Ramos aka-rise, the rest is history.

La Liga tulipewa with 3/4 games remaining, all we needed to do was win all our games. Celta wakatupiga kimoja, ikabaki tuki-win zilizobaki then matokeo ya mwisho Barca vs Atleti yangetu-favor, wakaja Valencia Bernabeu tukaotea draw draw kama juzi, 2-2. Yote makosa ya kiufundi.

Carlo aende tu, he has failed, na at RM ukifeli unaenda, haina mjadala.

We couldn't defeat Atletico once in the first 7 encounters of this season,due to which we lost the race of 2
trophies (Spanish Super Cup & CDR)

We defeated Barca once in 2 encounters,


We couldn't manage a single win against Valencia in 2 matches


We could not defeat Athletic Bilbao & Real Sociedad away although they weren't really good this season.


We lost to Juventus away and couldn't defeat them at the Bernabeu either.

Hii sio Arsenal tubaki na manager ambaye hatufai, bye bye Carlo...

 
Acha usinitch, nenda kashangilie fainali, naona presha imeshuka sasa jinamizi lako limetolewa.

Kwani maneno si alitamka yeye mwenyewe, alitankishwa!!?? we vipi au bado una stress za kipigo?
 
Huu ndio ushabiki wa vijiweni sasa, ustaarabu na adabu sifuri. Natamani kuondoka ile muwe na amani ila siwezi kuvumilia mkitukosea adabu namna hii, mna majukwaa yenu au anzisheni mengine halafu muweke hivi vitu, hapa ni mambo ya Real Madrid tu. Fanya kama ulipita pita shule angalau basi.

Sikiliza wewe kijana, humu ndani huwa zinawekwa picha za magazeti sio mara moja.Sasa baada ya Game ya Juve sijaona picha za magazeti, nikaona bora niwasaidie kuziweka, kwani baada ya kuziweka nimeweka maneno mabaya yoyote kwa Madrid!?
 
Kwani maneno si alitamka yeye mwenyewe, alitankishwa!!?? we vipi au bado una stress za kipigo?

No waay bro. Kati ya mimi na wewe nani anaonyesha kuwa na stress hapa? Tuko nje ya mashindano lakini we're still calm and talking about sports. Wewe uko kwenye final lakini bado upati usingizi kwa ajili ya hii thread ya chama kubwa. Ukitoka nje ya mada unapoteza maana ya sports.
 
Sikiliza wewe kijana, humu ndani huwa zinawekwa picha za magazeti sio mara moja.Sasa baada ya Game ya Juve sijaona picha za magazeti, nikaona bora niwasaidie kuziweka, kwani baada ya kuziweka nimeweka maneno mabaya yoyote kwa Madrid!?
Yaani Madrid kapoteza halafu unaweka Gazzetta dello Sport na Mundo Deportivo ndio unatusaidia? Unajua hata hayo magazeti yawakilisha kina nani mzee? Unge-post chochote wanachosema Marca au As hata kama ni kutukandia ungeeleweka.
 
MARCA readers have analysed the reasons underlying Real Madrid's failed season. They are unanimous about the team's seven deadly sins. More than 50,000 individuals participated.


1/ Lack of squad rotation
The players have arrived at the end of the season exhausted. The fans think that Ancelotti has failed in his distribution of playing time.


2/ The absence of Modric and other injuries
The Croat's injury was decisive at a key moment in the season. He's not the only one to have required medical attention, with James, Benzema, Bale and Ramos all having their problems, too.


3/ Cristiano Ronaldo failing to fire on all cylinders
It's difficult to blame someone that has scored over 50 goals during the season, but his performances over April and May have fallen away from the incredibly high levels he set earlier in the season.


4/ Not daring to trust the backup.
Illarra, Lucas Silva, Chicharito, Khedira, Coentrao, Jesé... The subs have hardly played, making this a very long campaign for the regular starters.


5/ Bale, off the boil.
The Welshman is a central figure for the Italian manager, but his performances this season have been far from last season's contribution. Whenever Bale is fit he gets a start, although his performances on the pitch have hardly shown why he's so trusted.


6/ Failing against big teams
Real Madrid have repeatedly produced poor results against big teams this season. Juventus are just the latest in a long line. Prior to this they only managed to beat Barcelona once and Atlético once.


7/ Ancelotti hasn't dealt with problems
The manager's management style has been questioned by our readers. The team have fallen from grace in 2015 and the manager has failed pinpoint and resolve whatever the problem is.


Read more:Real Madrid: Real Madrid's seven deadly sins - MARCA.com (English version)
 


Kweli Tall, kuna timu zimetolewa bila kuingia kwenye round of 16 lakini no body notice them, sisi tumetolewa kwenye hatua ya one game to the final lakini maneno hayatoshi. Unajua sisi ndio the best, ndio maana haters wengi mno.
 
MARCA readers have analysed the reasons underlying Real Madrid's failed season. They are unanimous about the team's seven deadly sins. More than 50,000 individuals participated.


1/ Lack of squad rotation
The players have arrived at the end of the season exhausted. The fans think that Ancelotti has failed in his distribution of playing time.


2/ The absence of Modric and other injuries
The Croat's injury was decisive at a key moment in the season. He's not the only one to have required medical attention, with James, Benzema, Bale and Ramos all having their problems, too.


3/ Cristiano Ronaldo failing to fire on all cylinders
It's difficult to blame someone that has scored over 50 goals during the season, but his performances over April and May have fallen away from the incredibly high levels he set earlier in the season.


4/ Not daring to trust the backup.
Illarra, Lucas Silva, Chicharito, Khedira, Coentrao, Jesé... The subs have hardly played, making this a very long campaign for the regular starters.


5/ Bale, off the boil.
The Welshman is a central figure for the Italian manager, but his performances this season have been far from last season's contribution. Whenever Bale is fit he gets a start, although his performances on the pitch have hardly shown why he's so trusted.


6/ Failing against big teams
Real Madrid have repeatedly produced poor results against big teams this season. Juventus are just the latest in a long line. Prior to this they only managed to beat Barcelona once and Atlético once.


7/ Ancelotti hasn't dealt with problems
The manager's management style has been questioned by our readers. The team have fallen from grace in 2015 and the manager has failed pinpoint and resolve whatever the problem is.


Read more:Real Madrid: Real Madrid's seven deadly sins - MARCA.com (English version)

Ni sababu ambazo ziko wazi na kila mtu ameziona, lakini kila kitu kishapita tena, ndio maana nimesema hapo mwanzo lesson have to be learned in this season, hata kama atakuja manager mwingine. First step ni kuimarisha bench, inatakiwa hata first pick akiwa majeruhi, atakaeingia ni moto pia.
 
Ni sababu ambazo ziko wazi na kila mtu ameziona, lakini kila kitu kishapita tena, ndio maana nimesema hapo mwanzo lesson have to be learned in this season, hata kama atakuja manager mwingine. First step ni kuimarisha bench, inatakiwa hata first pick akiwa majeruhi, atakaeingia ni moto pia.
Kinachoniudhi kuna kampeni zinaendelea za kum-support Carlo, players na Madridistas twitter karibu yote, ni upuuzi tu. Aende, na yoyote anayemtaka wamfate
 
Kweli Tall, kuna timu zimetolewa bila kuingia kwenye round of 16 lakini no body notice them, sisi tumetolewa kwenye hatua ya one game to the final lakini maneno hayatoshi. Unajua sisi ndio the best, ndio maana haters wengi mno.
Unajua huwa najiulizaga sana kama washabiki na wapenzi wa timu nyingine wanazipenda sana timu zao,maana madrid akifanya vibaya hata akidraw tu..utaona kila mtu anaongea,atakuambia madrid hakuna kitu pale,mara ronaldo hana kitu,maneno chungu na mbovu...ila timu zao zikipigwa huwezi sikia kelele hata siku moja..ni jinsi gani sisi ni best na wanatuogopa..
 
Kinachoniudhi kuna kampeni zinaendelea za kum-support Carlo, players na Madridistas twitter karibu yote, ni upuuzi tu. Aende, na yoyote anayemtaka wamfate

After the nightmare of Morinho in the dressing room, Carlo ni opposite side kabisa ndio maana wanampenda. Sio mbaya kuwa karibu na wachezaji, lakini sometimes ni muhimu kuwa kama boss not a friend, hiki ndicho kilichomfanya ashindwe kuwapa bench baadhi ya wachezaji. Ngoja mi niende huko twitter, I'm going to destroy everything.
 
Unajua huwa najiulizaga sana kama washabiki na wapenzi wa timu nyingine wanazipenda sana timu zao,maana madrid akifanya vibaya hata akidraw tu..utaona kila mtu anaongea,atakuambia madrid hakuna kitu pale,mara ronaldo hana kitu,maneno chungu na mbovu...ila timu zao zikipigwa huwezi sikia kelele hata siku moja..ni jinsi gani sisi ni best na wanatuogopa..
Hiyo ndio gharama ya kuwa Club kubwa na yenye mafanikio kwenye historia, mi bora waongee ila yasiwe na uongo wala kejeli coz hawako level yetu kufanya hivyo. Cha muhimu tusiruhusu waongee vitu vya uongo kwenye uzi wetu, kama ni kukosoa wakosoe kwa adabu pia. Hii thread ndio pekee inayonibakiza hapa, especially after this terrible season, kila mtu anatafuta kuongea ujinga kutuhusu, i promise to never let them as long as i can afford time.
 
Unajua huwa najiulizaga sana kama washabiki na wapenzi wa timu nyingine wanazipenda sana timu zao,maana madrid akifanya vibaya hata akidraw tu..utaona kila mtu anaongea,atakuambia madrid hakuna kitu pale,mara ronaldo hana kitu,maneno chungu na mbovu...ila timu zao zikipigwa huwezi sikia kelele hata siku moja..ni jinsi gani sisi ni best na wanatuogopa..


Mashabiki wa premier league wote wako against Real Madrid. Ndio ujue hili ni chama kubwa.
 
After the nightmare of Morinho in the dressing room, Carlo ni opposite side kabisa ndio maana wanampenda. Sio mbaya kuwa karibu na wachezaji, lakini sometimes ni muhimu kuwa kama boss not a friend, hiki ndicho kilichomfanya ashindwe kuwapa bench baadhi ya wachezaji. Ngoja mi niende huko twitter, I'm going to destroy everything.
Mi kwasasa nitakuwa anti-venom humu kwa wote wenye nia mbaya na sisi, hawatupi heshima yetu tutaichukua kwa nguvu. Mazoea yamezidi, halafu wananikuta nina machungu ya kutoka kapa msimu huu, i am emotional as hell.
 
Mi kwasasa nitakuwa anti-venom humu kwa wote wenye nia mbaya na sisi, hawatupi heshima yetu tutaichukua kwa nguvu. Mazoea yamezidi, halafu wananikuta nina machungu ya kutoka kapa msimu huu, i am emotional as hell.

Kuna watu wapo humu hawajui wanataka nini, wanafikiri kuongea kuhusu sports ni kubishana tu kama Simba na Yanga. Wapuuzi tu ni wa kuachana nao, sasa utaongea na mtu anakwambia yeye ni fan na sopporter wa club zaidi ya tatu, wengine ni maplastic tu humu, their main subject ni who's the best btn Cristiano and Messi, muflisi wa mawazo.
 

Ramon Calderon (Ex-RM President): "I don't think Cristiano has decided to leave. He hasn't said it. I wish he'd stay. Wasn't easy for me to sign him."
 
Back
Top Bottom