pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,131
- 3,505
Hayaaa...waleteeeee....tupige la 4 tuwe na amani sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eee mwanangu...dahT
Unaangalia match kwa kuchungulia
Upo sahihi kabisa mzeeHili suala lipo tokea tuanza msimu na sioni Ancelloti alibadilisha hii hali., kwasababu ni muoga wa mabadiliko, team ina shida ya kutengeneza nafasi kwa washambuliaji, viungo wanaocheza huo uwezo hawana., kwasababu Valverde hana hizo skills, Bellingham nae ni mfungaji mzuri ila hana mipango., Modric anaweza ila umri umemtupa mkono, ila ana option ya kumchezesha Arda Güler, huo uwezo anao ila sasa Mzee Ancelloti anaogopa kujaribu kitu kipya.,
Anaweza kuanza na Camavinga, ubavu mmoja akampa Modric/Valverde/Ceballos na Mwingine Bellingham., juu ya hao akampa Arda kazi moja tu ya kutengeneza mipango kisha kule mbele aamue kuanza na Vinicius na Mbappe ama Rodrygo, wawili hapo.
Kwenye beki hatuna option zaidi ya wale wawili, ama ampe nafasi Tchouamen acheze na Rudiger., kwasababu Militão bado akili haijakaa sawa.,
Dortmund ni wapuuzi sana kama matahira vile yanacheka cheka tu majinga haya.
Kijana akiwa kwenye ubora wake kama wewe ni beki unayetakiwa kumzuia unaweza kuhama upandeBallon d'or winner Vini Jr mpira anaujua sana
Tulia dawa ikuingie liverkukuDortmund ni wapuuzi sana kama matahira vile yanacheka cheka tu majinga haya.
Furaha mkuu sisi wa bandani amani ilitoweka ila uzuri hata mashabiki hatukati tamaa mpaka filimbi ya mwisho.Sasa huyu mtoto kavua shirt ya nini?hayaaaaa..waleteeeee
Umesahau na umasikini, Madrid itakupa pressure kaka achana kayo.Naichukia Real Madrid. Ikitoka Shetani CCM na polisi wa Tz wanafuata Madrid kwa kuwachukia